mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

  • Thread starter Thread starter LD
  • Start date Start date
ujana ale na nani uzeeni aje atafute vitoto vya wenzie!!!
 
ujana ale na nani uzeeni aje atafute vitoto vya wenzie!!!

Hivi Lady N, nyie si ndo huwa mnasemaga kuwa age ain't nothing kwenye mapenzi?
mbona leo wasema hivo?
 
Salamu kwenu wa dada wa JF, naomba kuuliza, hivi unapokutana na Mbaba mtu mzima labda miaka 60 hivi akakutaka kimapenzi unatoa jibu gani hasa ukiwa hukubaliani na matakwa yake?

Hasa pale inapotokea majibu yote ulionayo yy ana maswali yake.

Na maswali yote ulionayo yy ana majibu yake.


Angekua mzungu,,,usingekumbuka umri aliyekutajia.
 
Vibabu vingine vina laana ya mababu zao!Halafu utakuta anamcheat bibi wa watu nyumbani kwake.
Mie naona hapo ni kumpa black and white tu.Ukicheka na Nyani utavuna mabua...
 
Mshiki pole kwa yanayokukuta! Nimesoma posts zako nikagundua hapa ni kuikosa kazi tu ndo kunakupa shida! Cjawai ona mtu kafa kwa kukosa kazi..so usilazimishe mambo we komaa nae mpaka akufukuze kazi. Mrisho
Mpoto keshasema mwisho wa siku maisha lazima yasonge.
 
Na usikute kibabu chenyewe kimeshakulamba wewe LD,
Sasa unachofanya hapa ni kujustify hilo tendo lako,
Na kupata mawazo ya wadau,
Akili yangu imenituma kusema hivyo!!
Pole!!!!!

Sasa we Bacha bana, kwa nini akili yako inakutuma hivo??
Anyway hakuna ubaya.

Sema basi nataka kushinda huu mtego na kazi nibaki nayo.
Kwa sababu sasa naona tiba ya hii nikumkimbia babu.
Hebu nisaidie kidogo. Nikaa huko kitaaa sinitachoka na umaskini huu.
 
Hivi Lady N, nyie si ndo huwa mnasemaga kuwa age ain't nothing kwenye mapenzi?
mbona leo wasema hivo?
ndio 60/20yrs!? hata kama age sio tatizo hapo sikubali, defference kama ya 10 yrs nakubali lkn si ya 30... 40.... mpaka ngozi ishaelekea kusinyaaa Bacha!
 
ivi na umri wa 20+ utembee na zee ilo la nini pesa IVI KUNA PESA TAMU KAMA YA KUTAFUTA MWENYEWE HUWA HAINA MAULIZO WALA MAOMBI MAANA SIONI MAPENZI HAPO NI UTUMWA kwangu mie ni hapana na itakuwa hapana sina haja ya kumchekea
 
Sasa we Bacha bana, kwa nini akili yako inakutuma hivo??
Anyway hakuna ubaya.

Sema basi nataka kushinda huu mtego na kazi nibaki nayo.
Kwa sababu sasa naona tiba ya hii nikumkimbia babu.
Hebu nisaidie kidogo. Nikaa huko kitaaa sinitachoka na umaskini huu.

Mshiki tutafutane leo jioni tunywe mbege pale Tegeta darajani halafu tuongee vizuri kuhusu haka kababu. Unasemaje? Teamo amenihakikishia uwepo wake.
 
Back
Top Bottom