Habari Wana jukwaa.
Mdada wa kazi anahitajika mshaara 50000 kwa mwezi
Majukumu
1 kukaa na mtoto , kumuhudumia , kimpa chakula nb mtoto ana mwaka na miez 2 Sasa
2. Kupika
3. Kufanya usafi ndani na nje ya nyumba nuyumb ni chumba sebure na choo ndani
Mahali ni dsm temeke
SIFA ZA MWOMBAJI
umri kwanzia miaka 15-24 akiwa anatokea humu humu Dar itapendeza zaid.
Mdada wa kazi anahitajika mshaara 50000 kwa mwezi
Majukumu
1 kukaa na mtoto , kumuhudumia , kimpa chakula nb mtoto ana mwaka na miez 2 Sasa
2. Kupika
3. Kufanya usafi ndani na nje ya nyumba nuyumb ni chumba sebure na choo ndani
Mahali ni dsm temeke
SIFA ZA MWOMBAJI
umri kwanzia miaka 15-24 akiwa anatokea humu humu Dar itapendeza zaid.