nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Natafuta mke wa kuoaSasa Tatizo lako nini nikusaidie?
Endelea kutafuta.Natafuta mke wa kuoa
Eeeehhhh...si umesema utanisaidia...vepe sasa?Endelea kutafuta.
Asante kwa taarifa.Sasa nimejua ukweli.Flaviana Matata
Born Flaviana Matata
9 June 1988 (age 28)
Shinyanga, Tanzania
Residence New York U.S.A
Nationality Tanzania
Occupation
Website www.flavianamatatafoundation.org
- Model
- Beauty Peagant Winner
- Humanitarian
- Entrepreneur
Modeling information
Height 5 ft 9 in (1.75 m)[1]
Hair color Black
Eye color Brown
Flaviana Matata - Wikipedia
😀😀😀😀Eeeehhhh...si umesema utanisaidia...vepe sasa?
Tena sio mnyantuzu ni ng'wanamweli kalifumila Ng'wanza though she was born in ShyHuyo dada ni Msukuma.
Wewe si umesema unatafuta mwanamke wa kuoa? Nimekushauri endelea kutafuta. Au unataka nikushauri unavyotaka wewe? Vepeee wewe?Eeeehhhh...si umesema utanisaidia...vepe sasa?
Ndio maana nimeanza kutilia shaka hizi info...mi siku zote najua ni mtu wa Karagwe huko...Shinyanga kazaliwa tu...ndio maana mama yake alifariki MV bukoba akielekea kwao...huyu si ni nshomile,
Nilifurahi sana kuona mdada wa nyumbani kabisa [Shinyanga] akiwa ndani ya mwamvuli wa Ralph Lauren.
Hii ingependeza zaidi;
Nilifurahi sana kuona mdada wa nyumbani kabisa [Tanzania] ...
Unless hii window shopping mlikuwa mnafanya Kariakoo labda huenda thread yako ingeleta mantiki kidogo!
tatizo mwemamba mno.Mimi na bi mdogo ni wapenzi sana wa nguo na vitu vya Ralph Lauren kwa ujumla.
Sasa jana katika pitapita yetu kwenye duka lake [Ralph Lauren] wakati tukitafuta nguo za majira ya Fall tukakutana na picha za Flaviana Matata akiwa katika pozi mbalimbali za matangazo ya nguo za kike.
Nilifurahi sana kuona mdada wa nyumbani kabisa [Shinyanga] akiwa ndani ya mwamvuli wa Ralph Lauren.
Huenda tayari wengine mnalijua hilo lakini kwangu ndo ilikuwa mara ya kwanza kumwona akitangaza bidhaa za RL.
Safi sana mdada. Wewe endelea kupiga kazi na kuwakilisha. Utafika mbali sana.
Bofya hapo kuona zaidi Silk Sleeveless Top
tatizo mwemamba mno.
Nyumbani kabisa ni Shinyanga.
Shopping yenu mlikuwa mnaifanyia wapi? nchi/mkoa
and what message did you want to convey with this thread?
napenda mwanamke kibonge mwenye wezere kubwa.Different strokes for different folks.
Oya huyu demu sio mhaya?Mimi na bi mdogo ni wapenzi sana wa nguo na vitu vya Ralph Lauren kwa ujumla.
Sasa jana katika pitapita yetu kwenye duka lake [Ralph Lauren] wakati tukitafuta nguo za majira ya Fall tukakutana na picha za Flaviana Matata akiwa katika pozi mbalimbali za matangazo ya nguo za kike.
Nilifurahi sana kuona mdada wa Kitanzania akiwa ndani ya mwamvuli wa Ralph Lauren.
Huenda tayari wengine mnalijua hilo lakini kwangu ndo ilikuwa mara ya kwanza kumwona akitangaza bidhaa za RL.
Safi sana mdada. Wewe endelea kupiga kazi na kuwakilisha. Utafika mbali sana.
Bofya hapo kuona zaidi Silk Sleeveless Top