Mdada wa Kitanzania ndani ya Ralph Lauren

Mdada wa Kitanzania ndani ya Ralph Lauren

Status
Not open for further replies.
Eeeehhhh...si umesema utanisaidia...vepe sasa?
Wewe si umesema unatafuta mwanamke wa kuoa? Nimekushauri endelea kutafuta. Au unataka nikushauri unavyotaka wewe? Vepeee wewe?
 
huyu si ni nshomile,
Ndio maana nimeanza kutilia shaka hizi info...mi siku zote najua ni mtu wa Karagwe huko...Shinyanga kazaliwa tu...ndio maana mama yake alifariki MV bukoba akielekea kwao...

Hata ukicheki harusi yake mavazi waliyovaa Wazee wake ni ya mila za kihaya (kanzu)...
Maybe msukuma bana...maana mi haya nimeyajua thru media
 
Hii ingependeza zaidi;

Nilifurahi sana kuona mdada wa nyumbani kabisa [Tanzania] ...


Unless hii window shopping mlikuwa mnafanya Kariakoo labda huenda thread yako ingeleta mantiki kidogo!

Nyumbani kabisa ni Shinyanga.
 
Mimi na bi mdogo ni wapenzi sana wa nguo na vitu vya Ralph Lauren kwa ujumla.

Sasa jana katika pitapita yetu kwenye duka lake [Ralph Lauren] wakati tukitafuta nguo za majira ya Fall tukakutana na picha za Flaviana Matata akiwa katika pozi mbalimbali za matangazo ya nguo za kike.

Nilifurahi sana kuona mdada wa nyumbani kabisa [Shinyanga] akiwa ndani ya mwamvuli wa Ralph Lauren.

Huenda tayari wengine mnalijua hilo lakini kwangu ndo ilikuwa mara ya kwanza kumwona akitangaza bidhaa za RL.

Safi sana mdada. Wewe endelea kupiga kazi na kuwakilisha. Utafika mbali sana.

Bofya hapo kuona zaidi Silk Sleeveless Top


20161011_RLNA_Lrnshine_3.jpg
pPOLO2-24767905_alternate2_v400.jpg


pPOLO2-24767905_alternate1_t50.jpg
pPOLO2-24767905_alternate8_t50.jpg
tatizo mwemamba mno.
 
Mimi na bi mdogo ni wapenzi sana wa nguo na vitu vya Ralph Lauren kwa ujumla.

Sasa jana katika pitapita yetu kwenye duka lake [Ralph Lauren] wakati tukitafuta nguo za majira ya Fall tukakutana na picha za Flaviana Matata akiwa katika pozi mbalimbali za matangazo ya nguo za kike.

Nilifurahi sana kuona mdada wa Kitanzania akiwa ndani ya mwamvuli wa Ralph Lauren.

Huenda tayari wengine mnalijua hilo lakini kwangu ndo ilikuwa mara ya kwanza kumwona akitangaza bidhaa za RL.

Safi sana mdada. Wewe endelea kupiga kazi na kuwakilisha. Utafika mbali sana.

Bofya hapo kuona zaidi Silk Sleeveless Top


20161011_RLNA_Lrnshine_3.jpg
pPOLO2-24767905_alternate2_v400.jpg


pPOLO2-24767905_alternate1_t50.jpg
pPOLO2-24767905_alternate8_t50.jpg
Oya huyu demu sio mhaya?
 
Amedanganya umri?Alikiwa mbele yangu miaka niwili arusha tech.Hivi ameshachomoa supplementary yake Arusha tech?Anadanganya watu amemaliza chuo kikuu.Trump hajamwabuse.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom