Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo

Ahahahah
Ngoja niitengenezee memes
Screenshot_20240319-154901.jpg
 
Mada wanazozipenda wanaJF.

TEGEMEA KUPATA WACHANGIAJI LUKUKI.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
kwa mujibu wa mafundisho ya UISLAM huyo dada ana makosa kwa kuwa mwanamke haruhusiwi kukaa na mwanaume bila ya uwepo wa jamaa yake na mwanamke kinyume na hapo huyo mbeba ndom na mkongo yuko sahihi maana kaalikwa na mzinifu mwenzie.
 
Back
Top Bottom