Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 351
Siunialike na mimi baby 😂😂😂Watu hawapo kiibada Kabisa...daah
Au siohahah au ile unaumwa anakuja kukuona we unakimbilia kwa mangi. Nigga?!!
Hatari sana vijana wanaupwiru haohahah au ile unaumwa anakuja kukuona we unakimbilia kwa mangi. Nigga?!!
Mimi naenda kabisa nimebeba kiti moto na visungura za kutosha. Tunaenjoy huku tukisoma ngano, saundi na fiksi za mudi kutoka kwenye msaaYani Mdada wa watu kakualika ukale futari alafu wewe unabeba kondomu na mkongo.