Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
What I mean is wanaume hawapendi wanawake wanao 'jua sana' because they display their knowledge in an unpleasant way (making their interlocutor look ignorant). But mwanake akiwa na ujuzi mkubwa bila kua na hiyo tabia it is not unpleasant to men. If I missed something naomba unieleweshe tafadhali.
Hahahahaha, nimekuelea sasa. Ngoja nisubiri wanaume wajibu. Thanks for the highlight.Mwanakijiji mimi huwa namsoma kwa jicho la tatu na kumsikiliza kwa sikio la tatu.
Hiyo "kujua sana" aliiwekea alama za nukuu. Unadhani alikuwa anazungumzia general knowledge?
Hahahahaha, nimekuelea sasa. Ngoja nisubiri wanaume wajibu. Thanks for the highlight.
a. Amejifunza wapi?
b. Amejifunza kwa wangapi?
c. Itakuwaje kama sifikii kiwango chake?
d. Itakuwaje kama ataniona mshamba?
n.k nk
Matokeo yake ni kuwa mwanamke inabidi ajifanye hajui! Sasa hilo nalo ni zuri kwenye mahusiano?
Mwanakijiji, nafikiri hii mada ni mwendelezo wa kiaina wa mada ya hulka ya mtoto wa kike.
Kwa upande wangu mimi ninaamini kabisa mwanamke ana haki ya kuboresha, kufurahia na kusherekea 'mahusiano' kama alivyo mwanaume. Ni haki ya mwanamke kuwa mbunifu (na hapa ubunifu hauishii katika kutunga toka kichwani kwako bali pia kuchukua zile best practices from the past kama zipo) ilmradi anaenjoy na kufurahia maisha
Taabu inakuja kwenye mbinu ya kufikisha ujumbe wake. Kama binti mwenye haiba ya kike kuna njia za kufikisha 'ujuzi' pale inavyostahili. Sio ndo aingie moja kwa moja na kuanza kumgeuza Mwanakijiji kama samaki kikaangoni, kisa anataka kumwonyesha mapishi mapya!!.
Well, mi nilichukulia tu general knoweldge, kwa maana ya kwamba mwanaume anaweza kuona vibaya kama mke wake ana ujuzi fulani to some specific matters ambazo yeye hana. In some way this is exactly what he meant, but probably narrowed down to a specific type of knowledge. So what was your answer?Angalia swali b uone alivyoliuliza....
Mtu unataka pilau,lakini hutaki mpishi?
Lakini unataka pilau
Loh
Wanaume bwana? Ndo maana huwa tunaishia kuwaambia ujue diawewe ni mwanaume wangu wa pili tu, kumbe chain inaanzia dar-mwanza
uzuri haina meter useme itasoma unit
Well, mi nilichukulia tu general knoweldge, kwa maana ya kwamba mwanaume anaweza kuona vibaya kama mke wake ana ujuzi fulani to some specific matters ambazo yeye hana. In some way this is exactly what he meant, but probably narrowed down to a specific type of knowledge. So what was your answer?
To me question b is very telling as to what/where he was getting at. "Amejifunza kwa wangapi?" Hahahaaaaa
This is unfair. Kama alikutana na a single guru who initiated her to everything? Or what if she learned from her shogaz? some women share those intimate details bwana! They also learn from the media.Mwanakijiji's posts in MMU are always cryptic.
To me question b is very telling as to what/where he was getting at. "Amejifunza kwa wangapi?" Hahahaaaaa
This is unfair. Kama alikutana na a single guru who initiated her to everything? Or what if she learned from her shogaz? some women share those intimate details bwana! They also learn from the media.
Hivi kwanini sisi wanaume wengi hatupendi kukutana na mwanamke ambaye toka mwanzo anaonekana "kujua sana"? Yaani, akijionesha "kujua sana" basi tunaanza kukosa ile confidence kwa sababu tunajiuliza maswali mengi:
a. Amejifunza wapi?
b. Amejifunza kwa wangapi?
c. Itakuwaje kama sifikii kiwango chake?
d. Itakuwaje kama ataniona mshamba?
n.k nk
Matokeo yake ni kuwa mwanamke inabidi ajifanye hajui! Sasa hilo nalo ni zuri kwenye mahusiano?
Hahahahaha, not limited to. I also mean books, TV shows etc. Porn is not the best way to learn about these things, I am afraid. Hasa kama unaifanya kua exclusive source of knowledge.By media you mean porn?
Apparently he means sexual expertise.mjuaji wa nini??? maana kuna mengi............
Hahahahaha, not limited to. I also mean books, TV shows etc. Porn is not the best way to learn about these things, I am afraid. Hasa kama unaifanya kua exclusive source of knowledge.
I know. I meant the other range of educative sources. Pia kuna pornographic and erotic material. Zote zina qualify hapo bold (I think) but kuna tofauti kubwa.But you know porn is not just limited to movies, right? Pictures, magazines, books, etc., that show or describe naked people or sex in a very open and direct way in order to cause sexual excitement are also considered porn.