Elections 2010 Mdahalo wa Dr Slaa Movenpick LIVE

Tanzania tunapitwa kielimu na Somalia, nchi ambayo iko vitani, Kikwete analijua hilo?
 
Huyu Dr ni kiboko, falsafa ya elimu ameifafanue vizuri sana. Elimu ya awali itakuwa mpaka kidato cha 14
 
Elimu mpaka form six itakuwa ni ya Msingi
 
anazungumzia elimu bure.kwanza anaponda shule za kata zinapoteza umoja na ubora wake utawafanya watz kuwa walinzi .elimu ya tz ni hoi. tunabadili mfumo wa elimu.elimu ya form 4 ni lazima kuanzia elimu ya awali.chadema itawekeza kwenye elimu.makofi wengine wanatoa machozi
 
Ni nini Serikali yake itafanya kuwezesha Elimu bora na Afrya Bora

Anasema, Zamani iliwezekana (Wakati wa Nyerere),
Pia, katika Elimu ambayo wawo walipewa ilitolewa kwa staili ambayo iliondoa matabaka, lakini sasa Elimu inatolewa kwa matabaka
Tabaka la kwanza, Watu kama yeye wanaosomesha watoto wao nchini
Tabaka la pili, Watu wanaopeleka watoto wao nje
Tabaka la tatu, watu ambao wahana pa kupeleka mtoto, hata hapa nchini
Thererefore, hakuna jambo la hatari kama kuweka matabaka
Anasema, Tanzania ni nchi ya 49 kati ya nchi 50 Afrika, tunapitwa na Jibuti, pia na Somalia ambayo iko kwenye Vita.
Issue ya Elimu kuwa duni, itatuponza sana uko tunakokwenda, kazi nyingi zitafanywa na wageni, anasema Kingeleza cha watanzania ni duni, hata Kiswahili chenyewe si wote wanakiongea sawasawa, hii ina negative impact kubwa sana kwenye soko la ajira na Tanzania itakuwa msindikizaji hata hapa East Africa,
Ndio maana Chadema wakaja na dhana ya Elimu ya Awali ni lazima, hii ni foundation ni kama msingi wa nyumba, nah ii itakuwa kuanzia chini mpaka Form six.

Anatoa mfano wa Malaysia na Singapore ambapo miaka 50 iliyopita walikuwa kama sisi, na sasa wanamaendeleo makubwa sana kwa kuwa waliwekeza kwenye Elimu.
Chadema itafanya hivyo pia, kuwekeza kwenye elimu
 
Nyerere said, 'If you think education is expensive, try ignorance'.
 
Tupeni link basi jamani wenzetu mlioko huko bongo nasi tupate kufaidi...
 
anazumgumzia suala .anatabasamu.Tz haina dini watu wake wanadini.makofi. suala la udini liko mjini vijijini hakuna udini watu wanataka maendeleo.makofi.., anatoa jinsi alivyoshirikiand na shehe bin juma .
 
Serikali haina dini lakini wananchi wake mmoja mmoja ana dini – katiba ndivyo inavyosema .

Serikali ina wajibu wakulinda wananchi wote

Watanzania hawaendi kumchagua askafu slaa , wanamchangua raisi wa watanzania wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…