TheTanzaniaWeWant
Member
- Oct 23, 2013
- 23
- 1
Leo tena wadau wa siasa tupo Serena hotel mdahalo kujadili rasimu ya katiba mpya. Mdahalo karibu utaanza angalia ITV ama fuatilia kwenye jf washiriki Masoud Kombo,raisi wa chama cha wanasheria Zanzibar na wakili msomi. Francis Stola rais wa chama cha wanasheria Tanganyika na wakili wa mahakama kuu endelea kufuatilia karibu tunaanza
Maandalizi yamekamilika, wageni waalikwa wameshakaa kwwnye viti vyao, tunasubiri wachokoza mada ambao ni Masoud Kombo ambaye ni Rais wa chama cha wanasheria Zanzibar pia ni wakili msomi, Francis Stola ambaye ni rais wa chama cha wanasheria Tanganyika pia ni wakili wa mahakama kuu.
kama kawaida mdahalo huu unaletwa kwenu na EABMTI school of jounalism and broadcasting na washirika wake.
Mwongozaji wa mdahalo huu ni Rosemary Mwakitwange.
tafadhali fuatana nasi.
Maandalizi yamekamilika, wageni waalikwa wameshakaa kwwnye viti vyao, tunasubiri wachokoza mada ambao ni Masoud Kombo ambaye ni Rais wa chama cha wanasheria Zanzibar pia ni wakili msomi, Francis Stola ambaye ni rais wa chama cha wanasheria Tanganyika pia ni wakili wa mahakama kuu.
kama kawaida mdahalo huu unaletwa kwenu na EABMTI school of jounalism and broadcasting na washirika wake.
Mwongozaji wa mdahalo huu ni Rosemary Mwakitwange.
tafadhali fuatana nasi.