Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
- Thread starter
- #21
swali kwamba uliwahi kutuita wananchi na kutuambia umetuletea cheki ya pesa ulizopewa Japan sh 200 milioni na ukassema unazikabidhi kwa mkurugenzi manispaa je hizo pesa zilitumikaje?