Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025

Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025

Mboe akishiriki mdaharo huu muandalie leso 10 za kufutia majasho
 
Ikitokea mdahalo huo ukafanyika, naomba mimi nihamishiwe Dubai kwa gharama za serikali.
Mdahalo unaweza na obvious utafanyika tu..

Ungesema hivi: Kama ikitokea Freeman Mbowe akashiriki debate hiyio na akili kubwa Tundu Lissu, basi wewe uhamishwe kwenda Dubai kwa gharama ya Freeman Mbowe mwenyewe na serikali ya CCM...!!

Freeman Mbowe ameshaivaa roho ya kichwani na ya mambo ya gizani ya CCM. Hana ujasiri wa kujibu maswali magumu tena huyu...

Rushwa ni hatari sana. Huharibu ufahamu na akili za viongozi wengi...

Mr Freeman Mbowe ameshatafunwa na rushwa ya Mama Abdul...
 
This time odemba atalia mpaka agalegale, FAM hawezi kukubali kudhalilika na hoja zake uchwara.
 
Mbowe hana sera yoyote, hawezi KUJITOKEZA kwenye huo mdahalo.
 
Sasa hv nna uhakika Mbowe atakuwa anajuta kufuata ushauri wa wapambe maslahi waliomuingiza cha kike kugombea uenyekiti.
 
Edwin Odemba: Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali mtajulishwa. Mpaka sasa wagombea wawili wamethibitisha kushiriki mdahalo huo, tunaendelea na jitihada za kuhakikisha wote wanashiriki katika mdahalo, Asante.
Yule sultan aliye overstay hawezi kwenda
 
Edwin Odemba: Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa utafanyika tarehe 18/01/2025, siku ya jumamosi kuanzia saa 3:30 Usiku hadi saa 6:00 Usiku, mahali mtajulishwa. Mpaka sasa wagombea wawili wamethibitisha kushiriki mdahalo huo, tunaendelea na jitihada za kuhakikisha wote wanashiriki katika mdahalo, Asante.
Nawahakikishia akili ndogo hawezi kushiriki mdahalo na akili kubwa! Je, CHADEMA wakubali au wasikubali Mdahalo wa Uenyekiti wa chama? Wenzenu CCM huwa hawakubali Midahalo mimi niko hapa mtaniambia!
P
 
Hon Lissu aje amevaa helmet sisi bapa likitupanda tunakupasua tu mmamae
 
sasa unataka afanye nini?
Sio rahisi Mbowe kukubali debate dhidi ya Lissu.

Nimemsikia Danieli Naftari ambaye ni mratibu wa kampeni za Mbowe akipendekeza kutokuwepo na debate dhidi ya hao wagombea wawili.

Anasema debate hiyo italeta mgawanyiko ndani ya chama kuliko muunganiko.

Lakini hili ni jibu la mtu muoga ambaye anataka kuficha udhaifu wake kupitia pazia la mgawanyiko.
 
Back
Top Bottom