Pre GE2025 Mdahalo wa wagombea Urais wa TLS ulikuwa "fantastic". Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025 waige mfano huo

Pre GE2025 Mdahalo wa wagombea Urais wa TLS ulikuwa "fantastic". Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025 waige mfano huo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Unasema Kwenye nchi yetu, midahalo hiyo bado sana, hivi unadhani lini midahalo hiyo itakuwa muda muafaka, Kwa nchi yetu??

Ni chama Cha CCM pekee, ndicho "kinachokacha" midahalo hiyo😀
Siasa zetu zimetawaliwa na mambo yasiyo na maana Wala tija Kwa ustawi na utangamano wa kitaifa ndiyo maana nasema hivyo.
Ukitaka kuhakikisha pitia hoja zinazotolewa na wanasiasa wengi utaona ni kama aina fulani ya mipasho hivi.
 
..tatizo lingine ni kwamba hatuna waandishi au watangazaji wenye uwezo wa kuendesha midahalo ktk VIWANGO vinavyotakiwa.
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni mataifa yote duniani, yanayoutumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Mgombea gani wa CCM mwenye gut ya kuongea kwenye midahalo ya akina kiasi?
 
..tatizo lingine ni kwamba hatuna waandishi au watangazaji wenye uwezo wa kuendesha midahalo ktk VIWANGO vinavyotakiwa.
Chifu Odemba wa Star TV, ni mwandishi nguli, anayeweza kuendesha kipindi kama hicho Cha mdahalo.

CCM msitafute sababu za kuukumbia mdahalo huo😀
 
Chifu Odemba wa Star TV, ni mwandishi nguli, anayeweza kuendesha kipindi kama hicho Cha mdahalo.

CCM msitafute sababu za kuukumbia mdahalo huo😀

..Odemba ana viwango ukimlinganisha na wachovu na chawa walioko ktk vyombo vyetu vya habari. Lakini ukimuangalia kimataifa utaona kwamba bado ana safari ndefu mnooo.
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni mataifa yote duniani, yanayoutumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Je, unataka kumdhalilisha mgombea wetu asiyejua kuongea na kujenga hoja?? Utakuwa unatumika na mabeberu wewe, siyo bure hata kidogo.!!
 
..Odemba ana viwango ukimlinganisha na wachovu na chawa walioko ktk vyombo vyetu vya habari. Lakini ukimuangalia kimataifa utaona kwamba bado ana safari ndefu mnooo.
Kwani huo ni mdahalo wa kimataifa au wa kitaifa? madiwani, wabunge na Rais kuna shida gani kuwa na mdahalo?
 
Ni vizuri kuanza kupractice hata kama ccm watakataa, ila wengine wakishiriki itawaongezea imani kwa wapiga kura, na alikacha imani kwake itapungua. Hii ni mojawapo ya mbinu itakayowalazimisha ccm washiriki.
Iwekwe kwenye sheria
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni mataifa yote duniani, yanayoutumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Kikwete aliweka mpira kwapani na CCM ikapiga marufuku wagombea wake kushiriki midahalo, hiki ndicho chanzo cha nchi kupata marais wasiokidhi viwango vya juu.
 
Wakati hilo linafanyiwa kazi, njia pekee ni midahalo kuanza ktk uchaguzi mkuu wa 2025. Itachangamsha siasa pia vyama watalazimika kuwachagua watu sahihi kuviwakilisha vyama vyao, mtazamo wangu tu.
Bado tuna muda wa kutosha
 
Back
Top Bottom