Pre GE2025 Mdahalo wa wagombea Urais wa TLS ulikuwa "fantastic". Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025 waige mfano huo

Pre GE2025 Mdahalo wa wagombea Urais wa TLS ulikuwa "fantastic". Wagombea Urais Uchaguzi Mkuu 2025 waige mfano huo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni mataifa yote duniani, yanayoutumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Hatari lkn salama
Nakumbuka kuna kipindi fulani iliwahi kufanyika hivi wagombea ubunge na udiwani, CCM wakawa wanapwaya Mzee Kinana akawapiga marufuku wagombea wa CCM
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, Chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni Karibu mataifa yote duniani, yanatumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Yule mama atweza mdhalo na Lissu?
 
Yaan sijaonaaa hata swaliimojaaa mwanamke angeweza jibu pale bora wabaki wanaume tu kwa uraisi
 
..tatizo lingine ni kwamba hatuna waandishi au watangazaji wenye uwezo wa kuendesha midahalo ktk VIWANGO vinavyotakiwa.
Hata wakiwepo wanatishwa sana na wengine wanafundishwa woga kama wengi wetu tulivyo mashujaa nyuma ya baobonya "keyboard worriors"..
 
Alinichekesha jamaa mmmojaaa alisema kweli mwanachama wa ccm

Akaulizwa utawwzapingana na serkl ya ccm

Akajibu ccm sio yanguuu

Gafla akasema niwajuze tu nagombania kwa ajili ya kuwatumikia wanachama wa tls

Ccm yangu ina viongozi wakeee [watuukichekooo yangutena]
Hata mimi, nilicheka sana, baada ya kuambiwa kuwa wewe ni mwanachama wa CCM😅

Akajibu ndiyo

Chifu Odemba, akaendelea kumkandamiza na swali, CCM yako, jamaa akakana kuwa CCM siyo Mali yake😅
 
Hata mimi, nilicheka sana, baada ya kuambiwa kuwa wewe ni mwanachama wa CCM.

Akajibu ndiyo

Chifu Odemba, akaendelea kumkandamiza na swali, CCM yako, jamaa akakana kuwa CCM siyo Mali yake😅
Yule odemba hana adabu aisè jamaa simjui lakn nilimwonea huruma achatu
 
Hizo porojo ndio mnaziweka , hamtokuja kupata maendeleo ng'o kwa kubwabwanya midomo ...Moja ya vitu vya kijinga kabisa kufuatilia hizo sheria zenyewe ni kukariri tu .

Wenzenu wapo kweny exhibition kubwa za teknolojia nyie maneno kibao .
Sema Chura hawezi kukubali😄😄 siyo porojo
 
Nilishuhudia mdahalo wa wagombea Urais wa TLS, uliofanyika katika kituo Cha luninga Cha Star TV, ukiongozwa na mtangazaji wao mahiri, Chifu Odemba, ulioendeshwa Kwa takribani masaa mawili na nusu, ambao ulikuwa mzuri sana na wa kiwango Cha kimataifa, ambao uligusa Kila aina ya nyanja ya taaluma hiyo ya sheria na Taifa Kwa ujumla.

Ningependelea na naamini watanzania walio wengi, ndivyo watakavyopendelea kuona mdahalo wa aina hiyo, Kwenye uchaguzi Mkuu wa mwakani wa wagombea wa vyama vya siasa mwakani, ukiendeshwa na kituo hicho, chini ya mtangazaji nguli Chifu Odemba.

Hata hivyo najua kuwa kulifanyika juhudi kubwa miaka ya nyuma, Kila ilipofika wakati wa uchaguzi mkuu, kuwataka wagombea wa vyama vya siasa, washiriki Kwenye mdahalo wa aina hiyo, lakini kizingiti kikubwa ilikuwa chama Cha CCM, ambacho kimekuwa kikiukataa mdahalo huo!

Ninaamini pia kupitia Kwenye mdahalo huo, ndipo tutawajua wagombea Urais wa vyama mbalimbali, kuhusu sera zao na namna watakavyokabiliana na uongozi na namna ya kuliletea maendeleo makubwa Taifa letu

Tutambue pia kuwa ni Karibu mataifa yote duniani, yanatumia mtindo huu wa mdahalo wa wagombea Urais, Kila inapofika nyakati za uchaguzi.

Mathalani tulishuhudia hivi karibuni huko nchini Marekani, wagombea Urais wa vyama vya Democrats, Joe Biden na mwenzske wa Republican, Donald Trump, wakichuana vikali katika mdahalo huo, ambao hatimaye umemuweka pembeni mgombea Urais wa chama Cha Democrats, Joe Biden, baada ya kufanya vibaya Kwenye mdahalo huo, sababu zikielezwa kuwa ni kutokana na umri mkubwa.

Hivi bila mdahalo huo, nchi ya Marekani ingeweza kuwa na mgombea Urais wa Chama Cha Democrats, Kamara Harris??

Jibu ni Hapana

Kwa hiyo Kwa kuwa tunajua umuhimu mkubwa wa kuwa na Rais wa Taifa lolote ni jukumu kubwa sana Kwa maendeleo ya wananchi wa Taifa husika, Kwa hiyo naamini upo ulazima wa kuendesha mdahalo wa aina hiyo, Ili tuweze kuwapima wagombea wetu wa Urais, tunaotegemea kuwapigia kura, Ili waweze kuliongoza Kwa weledi mkubwa Taifa letu.

Mungu ibariki Tanzania

Pia, soma: Mdahalo wa Wagombea Urais wa Chama cha Mawakili Tanzania Bara 2024
Subutuuuu, hawana uwezo huo
 
Wakati hilo linafanyiwa kazi, njia pekee ni midahalo kuanza ktk uchaguzi mkuu wa 2025. Itachangamsha siasa pia vyama watalazimika kuwachagua watu sahihi kuviwakilisha vyama vyao, mtazamo wangu tu.
Pia itaamsha hamasa ya watu kujitokeza kupiga kura
 
Sipati picha Odemba anamuuliza Sasha kuhusu bandari DP world na rasilimali halafu akajibu kuhusu 4R anazozipenda.
😀😀

Niko na miaka 26 now.

Katika kusoma kwangu, kuishi, kuzurula na kutongoza nimejionea wanawake extra ordinary kwa level ya kua top leaders ni wachache sana kama sio hakuna.

Japo they are good doors. Like Apewe kazi yenye miongozo, yeye aende by miongozo ila sio creative/first kazi jobs ni kisanga utaskia hapa tunafanyaje/Mm nawasikiliza nyie 😀
 
Back
Top Bottom