Elections 2010 Mdahalo wa Wagombea vijana Movenpik 25/09/2010

We sijui ndo Kudadeki, whoever the hell you, are jenga hoja! Myika ni mgombea ubunge kupitia CHADEMA aliyetokea kwa na kabila kama ulivyo wewe..
Nilichopost mimi na ulichonijibu haviendani.Mimi nilikuwa nina mwambia Kudadeki achane na siasa za ukabila,wewe umenirukia na kuongelea kitu kingine.
 

Sawa mjuaji wewe...ofcourse majibu ya CUF yalikuwa yakilenga watu wa aina yako....ushabiki
 

Kwa nini hupendi CHADEMA wasifiwe? Hapa kila mtu anatoa mawazo yake. Unayo haki kabisa ya kuwamwagia CUF sifa kemkem ukitaka hukatazwi.

Nakubaliana nawe kwamba CHADEMA walipoteza muda mwingi kueleza yaliyopita na kuonekana kama wanajisifu vile!
 
Utaendelea kujifunza huku roho ikikuuma. Ila ushauri wa bure usije ukajiua tu wakati wa matokeo ya uchaguzi yatakapoanza kutoka baada ya uchaguzi. :becky:

Achana nao hao kudadadeki, kitu kimoja hujui majority ya wanajf ni chadema, na hii forum ni yao, so usghabiki kwa chadema kwa cost yoyote ni lazima. we waache washabikie tu wakiwa kwenye net na wakati hawapigi kura ndo watajua kama mtatiro ndo atashinda ubungo au mnyika, lets wait n c.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…