Prince mrema
Member
- Oct 11, 2017
- 61
- 72
Habari wanajukwaa.kuna deni la kiasi flan ivi cha pesa linanisumbua.nilipelekwa mahakamani.nikapangiwa kurejesha kias flani ivi kwa muda niliopangiwa sasa kila ikifika tarehe niliyopangiwa naenda na kiasi pungufu.na hakimu hua ananiambia kila siku nitakuandikia kifungo mpaka ndugu zako walipe ndo utatoka.hii imekaaje wadau.