Mdau ajitolea kuwapa maji ya kunywa wote wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani

Mdau ajitolea kuwapa maji ya kunywa wote wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

%2523ChademaFamily_mdau_ajitolea_kuwapa_maji_ya_kunywa_wananchi_wanaohudhuria_kesi_namba_16_20...jpg
 
Rushwa hiyo,huyo atafutwe na ahojiwe ,katumwa na Nani!?, na kisudio lake ni Nini!? je anatafuta namna ya kuwashawishi watu walundikane hapo viwanja vya mahakama!?
 
Back
Top Bottom