Mdau ajitolea kuwapa maji ya kunywa wote wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani

Mdau ajitolea kuwapa maji ya kunywa wote wanaohudhuria Kesi ya Mbowe Mahakamani

Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Tatizo la wema kuoza huanzia pale mtu aliyetumia hiyo zawadi atapopata madhara ya kiafya baada ya kutumia.

Yataanza maswali: "ulipata wapi kibali cha kutoa huduma hiyo kwa raia?"

"Bidhaa hizo zilithibitishwa na mamlaka gani kama zinafaa kwa matumizi ya binadamu?"

"Expire date yake inasomekaje?"

Pamoja na maswali mengine kibao ya reja reja kuulizwa, hautauliziwa barabarani, bali utaulizwa ukiwa tayari umeshang'ang'aniwa ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la wema kuoza huanzia pale mtu aliyetumia hiyo zawadi atapopata madhara ya kiafya baada ya kutumia.

Yataanza maswali: "ulipata wapi kibali cha kutoa huduma hiyo kwa raia?"

"Bidhaa hizo zilithibitishwa na mamlaka gani kama zinafaa kwa matumizi ya binadamu?"

"Expire date yake inasomekaje?"

Pamoja na maswali mengine kibao ya reja reja kuulizwa, hautauliziwa barabarani, bali utaulizwa ukiwa tayari umeshang'ang'aniwa ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vitisho duni sana
 
Hayo maji wataweka sumu ili watu wadhurike kisha wapige marufuku watu kuja hapo. Pili kama ni msamalia mwema kweli wenye wivu watampiga stop soon. CCM ni mijambazi iliyokubuhu kumpita shetani.
 
Hayo maji wataweka sumu ili watu wadhurike kisha wapige marufuku watu kuja hapo. Pili kama ni msamalia mwema kweli wenye wivu watampiga stop soon. CCM ni mijambazi iliyokubuhu kumpita shetani.
Ngoja tuone
 
Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Lile jini mahaba la kizanzibari linajisikia vibaya
 
Vitisho duni sana
Mkuu wewe haujapambana na adha za kutenda wema!

Ukitaka kufanya jambo lolote kama sadaka, huwa mpaka uchukue kibali.

Iwe hata una maulidi nyumbani kwako, sijui kufuturisha watu, harusi nk nk ambapo watu watakusanyika na kula ama kunywa lazima ukachukue kibali.

Hayo yote ni kujihami pindi watu uliowaalika watumiapo bidhaa ulizowakirimu wakapata mushkeli.

Ujue mtu mwingine aweza kuwa kala mauchafu yake huko akaja kuugulia kwako ndiyo yakaanza maswali ya tuhuma!

Wema saazingine waweza kukugharimu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Mkuu Aina ya uandishi wako inavutia sana
 
Ngoja ntafute wafadhili wa kugawa nauli na kuwajazia magari mafuta yao kila waendapo mahakamani,
Mungu yupo na Mbowe atashinda kesi tu
 
Wakisema wampige kiongozi faini hata ya bilioni ndani ya saa 24 zitakua zimepatikana kutokana na michango ya watu wenye mapenzi mema.
 
Hii kesi ni ya kipumbavu. Ningekuwa Chadema hata nisingejisumbua hii kesi haiendi popote.
Wajinga ndiyo waliwao mbowe na ccm na serikali damu damu kalelewa huko leo eti wamshitaki kwa lipi hasa kama siyo kuwageuza ubongo wananchi?

Watu sijui watakuwa na akili za kujiongeza lini?
 
Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Mataga yakisikia hivyo yanachanganyikiwa
 
Hiyo inasaidia chochote kuhusiana na uamuzi wa hilo shauri husika?
 
Ili kukabiliana na Joto kali la Dar es salaam, Mtu mmoja mwema ambaye jina lake linahifadhiwa ili wasimdhuru, amejitokeza kwenye viunga vya Mahakama kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi akiwa na Fuso lililojaa maji ili kuwapa maji ya kunywa watu wote wanaohudhuria kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake watatu.

Huduma hii mpya imeelezwa kwamba itaendelea kutolewa hadi kesi hii itakapoisha, hata kama itachukua miaka mitano.

Hakuna Masharti yoyote wala kikomo cha idadi ya chupa, wewe beba yanayokutosha halafu ingia mahakamani.

View attachment 2015124
Nimefurahi sana Mungu yuko upande wetu
 
Back
Top Bottom