mdau mpya wa jamii forums

mdau mpya wa jamii forums

Oxlade-Chamberlain

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
8,635
Reaction score
2,205
habari za saa hizi wana jamii kwa ujumla.mimi nimeamua kujiunga na jamii yenu kwani inavutia mno kwa posts zake za kusisimua na bila ubaguzi.
 
aah wenger huna sera......karibu
 
asante sana pale nilishindwa kukujibu mapema kwnai nilikuwa naingina kazini.nashukuru kw akunikaribisha.
 
wenger hongera kwa kutangulia mimi nami naingia ndani ya jf
 
habari za saa hizi wana jamii kwa ujumla.mimi nimeamua kujiunga na jamii yenu kwani inavutia mno kwa posts zake za kusisimua na bila ubaguzi.


tuko pamoja karibu sana bwana kocha utukochi na hoja nzito! nzito!
 
habari za saa hizi wana jamii kwa ujumla.mimi nimeamua kujiunga na jamii yenu kwani inavutia mno kwa posts zake za kusisimua na bila ubaguzi.

Karibu sana AW..........! but hilo jina limetuboa sana this yr!
 
Karibu sana AW..........! but hilo jina limetuboa sana this yr!

AW ni proffesor wa football,na kazi ya proffesor unaijua sio mda wote darasa zima linafaulu.kwahio kumlaumu wenger sio swala zuri kwani kajitahidi sana ni wachezaji wachache wamemuangusha.kikosi alichokuwa nacho wenger ungempa kocha yoyote duniani unayemjua wewe hasinge weza kumaliza top 4 na kufika nusu fainali ya champions league na fa cup.plus injuries alizokuwa nazo za mabeki ndio kabisa.lakini watu tumeshawazoea wako faster sana kulaumu bila kuangalia deeper.
 
habari za saa hizi wana jamii kwa ujumla.mimi nimeamua kujiunga na jamii yenu kwani inavutia mno kwa posts zake za kusisimua na bila ubaguzi.

Karibu sana Arsene Wenger, Tunaamini mwakani huta tuboa sana kama ulivyofanya mwaka huu.
 
habari za saa hizi wana jamii kwa ujumla.mimi nimeamua kujiunga na jamii yenu kwani inavutia mno kwa posts zake za kusisimua na bila ubaguzi.

Karibu Mkuu, lakini angalia sana na hilo jina ulochagua, siku ukishishuka daraja kutoka premier na kujiunga na kina New Castke usikimbie hapa JF.
 
Karibu Mkuu, lakini angalia sana na hilo jina ulochagua, siku ukishishuka daraja kutoka premier na kujiunga na kina New Castke usikimbie hapa JF.
asante sana mkubwa.siku arsenal itashuka dajara basi ujue msimu huo timu zote za championship zimepanda daraja.
 
asanteni wana jamii kwa ujumla na ninafurahi kuona watu wana ukarimu mkubwa sana.
 
Karibu Prof Wenger,wasalimie kina Adebayor
 
tehe tehe!! karibu bwana Wenger..ila naona sasa ivi ushachuja ni bora ukajenge madaraja tu sasa..msimu ujao tunakupa wa mwisho..ukichemka tena tunakukimbiza..
 
Back
Top Bottom