Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

Ok ngoja nielekee hapo nikapate nipo hapa kindoroko
mbona apo kindoroko kwa mbele tu kuna chimbo la maana panaitwa killtime pub kuna wamama wana shona pajama za kizungu kwa mbele
 
Rosti shata shata.. Rosti mboga mboga au kavu.. Embu tupe ujuzi wako mdau..Vipi kuhusu viungo.. Unapenda iwekewe viungo au unataka ule ikiwa na ladha yake tukufu?
kuna chimbo kariakoo sema lipo jirani na muuusiiikiiitiii naona kipindi cha mfungo inapukutika sana mida ya kimbilimbili night muuza kila nikimuambia aniwekee utasikia imebaki kidogo nikagundua napo enda kuweka oda napishana na watu wenye ndevuuu nyingi huku zimenona kiwese
 
Mbona mnakuwa wajinga mada za kitimoto na wenzenu wamefunga mnataka kuchokoza malunbano ama
 
NAOMBA LOCATION YA HILO CHIMBO MKUU.. MANA MM NI MDAU WA KARIOKOR KWA SANA...
 
Futarii ya nguvuuu hapo bado kikombe cha ujiii...yaaadhhaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…