mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
Wewe kula paka uwakomoekama unakula kitimoto unaona ok mbona mchina akila mbwa unaona kinyaa ilihali vyote haramu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kula paka uwakomoekama unakula kitimoto unaona ok mbona mchina akila mbwa unaona kinyaa ilihali vyote haramu??
Kula tule sisi lakini haramu na kinyaa aone yeye! Lijinga hili limerithi dini hadi halijijui.Topic Ni KITIMOTO usitutoe kwenye mada
Kitimoto itangazwe kama urithi Wa taifaKula tule sisi lakini haramu na kinyaa aone yeye! Lijinga hili limerithi dini hadi halijijui.
Imani za kurithi na kukalili zinawasumbua sana baadhi ya wafia dini.Kitimoto itangazwe kama urithi Wa taifa
Kumbe mnafahamiana kibiasharaKisa tu tumefunga.
mkuu wiki hii niuzie nguruwe 10 tano zaidi yani wale ulioniuzia wiki iliyopita walikuwa swafi
Dar es Salaam ya Bashizzomkoa gani ?
hiyo 5,000/= ni kama utaenda kula pale pale. Order weka 0712 377 702Wanafanya home delivery.. Nataka kuagiza.. Mana mm nauziwaga 11000-12000
dogo mbona unazingua, piga hiyo simu tukuwekee order yako. muda ukizid masaa mawili toka uweke order na hujatokea tunaiuza kwa mtu mwingineNmeibeba.. Ni survey hii hii nayoufaham au ipo nje ya mji?
Kumbe ww ndo muuzaji..But tuheshimiane mkuu. Nliuliza Ili nipate uhakika sidhan kama nmekosea.. Labda kama kitimoto yako si ya dunia hii hutak watu wajue location.dogo mbona unazingua, piga hiyo simu tukuwekee order yako. muda ukizid masaa mawili toka uweke order na hujatokea tunaiuza kwa mtu mwingine
hahaha we jamaa weweYakhee wap kitimoto naweza pata hapa forodhan!!!!!!
maswali na bei umepunguziwa mpaka 5,000/= kwa mwezi huuKumbe ww ndo muuzaji..But tuheshimiane mkuu. Nliuliza Ili nipate uhakika sidhan kama nmekosea.. Labda kama kitimoto yako si ya dunia hii hutak watu wajue location.
Come one, Come Allmaswali na bei umepunguziwa mpaka 5,000/= kwa mwezi huu
Jamani sio fair [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Haahaaha.... Pole.Jamani sio fair [emoji22] [emoji22] [emoji22]
Ngoja niitafute mchana huu