Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

Asttaghafulilah, tusiharibiane swaum kwa kujadiri haramu mchana wa Ramadhani.
Mkuu, ukisema ushindane na wana JF utaumia bure. Sometimes watu wanaku provoke makusudi ili uropoke/utukane ule BAN NDEFU. Mada zingine kama hizi wala usiwe unazisoma kabisa. Pita kimya kimya!
 
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] mate tu yanitoka hapa kuona mdudu huyo roast japo me napenda mdudu roast aliemixiwa mamichicha anakuwa poa sana,japo Kuna mnyamwezi anachoma mdudu pale mbezi karibu na St.Joseph hatari sana mdudu wake wa kukaushwa.
 
hiyo 5,000/= ni kama utaenda kula pale pale. Order weka 0712 377 702
Ngoja nyuzi zako zifiatiliwe,kama ni tata,utatafutwa kwa hiyo namba ya simu ili usaidie vyombo vya usalama.
 
Hata kulema alhamdulilahi imekushinda as if hiyo nyama umepatia kwa akili zako na nguvu zako [emoji15] unajua kufakamia manyama ya kama umeumba wewe daah [emoji15] Umshukuru Mungu kwa neema kubwa kubwa na ndogi ndogo alizo kuruzukia, kaafir mkubwa wee [emoji10] [emoji33]

Sent using Jamii Forums mobile app
 


NEEMA KUBWA NI HII YA KIWANDA CHA VIFAA VATIKAN



 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…