Nasubiri jibu lako mkuu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
kuanzia tar moja July itapanda bei balaa maana kina Fulani watakua wameimiss kwelikweli
Kila Mahali IpoKitimoto ya maana ipo moshi kibororoni kwa mlomboo
Nenda mitaa ya rv kwa mbele,upande ule ule kuna kitimoto yenye heshima sana pale.Napat wapi kitimoto kigamboni
Daaah umeniamsha mkuu ngoja nisogee kwa mrembo Glory nikazimue kidogoMkuuu fika hapa Oriental pub mara moja tafadhali
DaaaahView attachment 515733Mida ya kufuturu karibuni wakuu
Haahhaa...karibuuMbaya sana wewe...
Ha ha ha ha, mimi nakimbizana na virikuu tu hapa mkuuDaaah umeniamsha mkuu ngoja nisogee kwa mrembo Glory nikazimue kidogo
Mkuu karibu sanaa hii kitu ipo hapa k, nyama nyuma ya double view hotelDaaaah
AiseeMbona wanakula sana na wananunua sana pale Morogoro na kusafirisha Zanzibar na nyingine inaenda Dubai
ww unatafuta shiiidah simoo mieYakhee wap kitimoto naweza pata hapa forodhan!!!!!!
dahh tunajzana mate nyie
Tafuta kijiwe kakate kiu..dahh tunajzana mate nyie
Nyie watu mnaniua na haya mapicha yenu jamani!!! Na nilivyo na ubaooo... Ukicheki jikoni kuna ugali na majani ya maboga!!! [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]Kitu cha kuchoma mkuu, ndiyo napata hapa! KARIBU sana Kiongozi
Paprika njoo bibie[emoji4]Nyie watu mnaniua na haya mapicha yenu jamani!!! Na nilivyo na ubaooo... Ukicheki jikoni kuna ugali na majani ya maboga!!! [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]