Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

Sasa ukiondoa mafuta yote.. Majini yatakimbiaje.. Mana nasikia mafuta yake ni bomu la machozi kwa majini
Well kwa upande wa majini nadhani ni story enye ukweli flani which was rumoured mda xaxa! As u know since zamani most of Majinis apparently ni majini wenye majina ya Maimuna! Aisha! Jini Hadija! Jini Rukia! Jini Shabani! Jini Jafar! Nk nk,Sasa mkuu as we all know hawa majini if u observe them by their names utakua ushajua ni waumini wa imani gani na ofcourse Mdudu na imani ya Majini hawa haviendani![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2]and yap hata mfupa its bealived ukiweka ndani scary majini's they wont bother u a myth [emoji200] [emoji200] [emoji200] [emoji201] [emoji201] [emoji201] [emoji201]
 
Hatariii
 

Attachments

  • Screenshot_2017-05-28-23-27-12-1.png
    Screenshot_2017-05-28-23-27-12-1.png
    290.9 KB · Views: 57
Hii kitu safi sana aise.mimi nikiwa arusha kila weekend lazima nitie miguu pale star light bar mianzini nisuuze roho na hii kitu yakuchoma.ila kuna swali najiulizaga.kua hivi kwanini hivi vitu vilivyowekewa masharti na marufuku mengi kua tusivitumie huwa ni vitamu sana.Nadhani kuna siri kubwa hapa.
 
Back
Top Bottom