Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

Mdau: Unapenda kula kitimoto ipi?

King of table (pork) sio nyama ya mchezo mchezo wazungu wenyewe wanaitambua natoa ofa kwa mwanajamii forum yeyote aliye wilaya ya Nachingwea. Mkoani lindi tutafutane jioni ya Leo baada ya kazi 0783848802 kanisani kwa father makota
Ntakutafuta mkuu.. Nipo radhi nipande fast jet niwahi hyo ofa
 
Kitu cha roast mixer na mbogamboga na vindizi flan amaizin a see hii kitu bora ingehalalishwa tu na ikawa free kwa wote
 
Napat wapi kitimoto kigamboni

Aisee hapo kuna chimbo moja hatari ya kula Mnyama alafu wanaandaa vizuri balaa Ila nimesahau jina japo ipo karibu na yale maduka ya vifaa vya ujenzi vya mwanzoni upande wa kushoto ukitokea feri baada ya kupita Efatha ministry. Chimbo ipo sasa upande wa kulia wa barabara
 
Back
Top Bottom