Mdau wa Diaspora ajibu maswali kuhusu daraja litakalojengwa kutoka Dar hadi Zanzibar

Mdau wa Diaspora ajibu maswali kuhusu daraja litakalojengwa kutoka Dar hadi Zanzibar

Daraja aina hii lipo Seattle Washington State US.
Linaitwa Evergreen Point Floating Bridge.
Urefu wake ni 2,350 meters tu! (sehemu inayoelea)
Ujenzi wake ulikamilika 2016
Lina njia (lanes) 6
Lina maboya (yanayoliwezeesha kuelea) ya zege 77 yenye uzito wa Tani 10,000 kila moja urefu mita 110, upana mita 23 na kimo mita 8 na nusu.
Maboya mengine 54 kila moja lina uzito wa tani 2,300 na kadhalika.
Gharama yake US $ 4.5 billions
Karibu sawa na bomba la mafuta toka Uganda mpaka Tanga!
Umbali Dar Zanzibar 90 km
Hiyo ni sawa na madaraja 39 ya Seattle!
Au madaraja 19 kati ya Bagamoyo na Zanzibar 45 km!

Garama sawa na 4.5×39= US $175.5 billions!
Ni kama T. Sh. 403,650,000,000
Hawa wanaojiita diaspora wa TZ achaneni nao ni washamba tu.[emoji7]


Sent using Jamii Forums mobile app


Si washamba , hao waliotoa wazo hilo wako Scandinavia na kule ukianzisha organisation ya nchi yako unalipwa dollars karibu 10000 kwa mwaka na serikali za huko.

Wengi wa vijana wa kibongo wanazivalia njuga hizo pesa na kinachohitajika ni uonyeshe activities zako tu kila mwaka.

Ndio ukawaona kila mmoja hujaribu kuanzisha organisation yake na kujikomba kwa serikali ki magirini

HAMNA LOLOTE HAPO NI WATU NA NJAA ZAO TU NA ULAFI
 
Sio wote,huyo diaspora mmoja mpuuzi tu anayewazia kupiga cha juu ikipitishwa🤣🤣🤣
Sijawai kusoma jambo la kijinga km hili.
Mkimuona diaspora mwenyewe sasa mwenye hilo wazo.🙄🍗
Huyo jamaa alikua 🍺 wakati anaandika upumbavu wake !
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Si washamba , hao waliotoa wazo hilo wako Scandinavia na kule ukianzisha organisation ya nchi yako unalipwa dollars karibu 10000 kwa mwaka na serikali za huko.

Wengi wa vijana wa kibongo wanazivalia njuga hizo pesa na kinachohitajika ni uonyeshe activities zako tu kila mwaka.

Ndio ukawaona kila mmoja hujaribu kuanzisha organisation yake na kujikomba kwa serikali ki magirini

HAMNA LOLOTE HAPO NI WATU NA NJAA ZAO TU NA ULAFI
🤣 Ki magirini 😂😂
 
Mimi naona ni porojo tu wanatuletea wana Diaspora, huu mchakato wa upembuzi kwanini msingefanya kimyakimya baada ya kupata gharama na njia za kupata hiyo fedha ya kujenga ndio mngekuja kutuambia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daraja aina hii lipo Seattle Washington State US.
Linaitwa Evergreen Point Floating Bridge.
Urefu wake ni 2,350 meters tu! (sehemu inayoelea)
Ujenzi wake ulikamilika 2016
Lina njia (lanes) 6
Lina maboya (yanayoliwezeesha kuelea) ya zege 77 yenye uzito wa Tani 10,000 kila moja urefu mita 110, upana mita 23 na kimo mita 8 na nusu.
Maboya mengine 54 kila moja lina uzito wa tani 2,300 na kadhalika.
Gharama yake US $ 4.5 billions
Karibu sawa na bomba la mafuta toka Uganda mpaka Tanga!
Umbali Dar Zanzibar 90 km
Hiyo ni sawa na madaraja 39 ya Seattle!
Au madaraja 19 kati ya Bagamoyo na Zanzibar 45 km!

Garama sawa na 4.5×39= US $175.5 billions!
Ni kama T. Sh. 403,650,000,000
Hawa wanaojiita diaspora wa TZ achaneni nao ni washamba tu.[emoji7]


Sent using Jamii Forums mobile app
Niliukiza gharama zitakuwa kiasi gani na zitarudiahwaje, sijajibiwa mpaka leo.

Sisi ni masik8ni si kwa mali tu, baki kw amawazo oia.

Kati ya sehemu zote za kuwekeza Tanzania, watu wameona daraja ndilo la muhimu kabisa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar yenyewe ni ndogo mnataka muweke daraja mtujazie nchi yetu iwe kama manzese..Kwasababu wagogo lazima wajae daraja zima kuombaomba!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Watu wajinga kweli "Eti ooh hakuna usafiri wa boti baada ya saa 12 jioni", kwani si wapande ndege. Hawa diaspora ni washamba na wanataka kufanya upigaji. Kazi ya ujenzi wa miundo mbinu ni ya serikali na kama mnataka nyie kujenga basi toeni kiasi cha gharama ielekezeni kwa serikali wajenge. Faqat

Sent using Jamii Forums mobile app
Relax mkuu alibakari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MDAU WA DIASPORA AJIBU MASWALI KUHUSU DARAJA LITALOJENGWA KUTOKA DAR HADI ZANZIBAR.

Leo 19:15pm,28/12/2019

Kutokana na Mgongangano wa mawazo ili Watanzania tufikie lengo kuu lenye kuleta tija,Mdau wa Diaspora amejibu maswali kiufasaha kuhusu ujenzi wa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ili wadau waelewe nini hasa kimewapelekea kuomba ruhusu kwa Serikali ili waweze kujenga daraja hilo.

Mdau huyo akielezea hayo amesema tayari wana miradi saba kwa jumla ambayo wameazimia kuiwakilisha kuanzia mwaka ujao na yote imepitishwa katika azimio la utekelezaji.

Kiuhalisia daraja kutoka Dar hadi Zanzibar likijengwa litaingia kwenye Guinness book kama daraja refu kabisa linaloelea baharini kwa lugha ya beberu "the longest floating bridge" kwa sasa daraja refu kabisa lina 2km hili la Dar hadi Zanzibar litakuwa na 30km.

Tashwishi ni kubwa na maswali ni mengi kuliko majibu, na muda ni mchache na Watanzania waishio nje wameamua kujenga daraja hilo kuunga mkono juhudi za Rais Mzalendo kabisa,Daktari John Pombe Magufuli.

Swali la msingi kutoka kwa Mwananchi wa Tanzania aliyetaka kujua zaidi kuhusu ujenzi wa daraja hilo,ni kwamba ninyi Watanzania mnaoishi nje ya Nchi mnawezaje kwenda kuomba hela kwa wafadhili kuja kutekeleza suala kubwa kama hili ambalo ni kazi ya serikali na ninavyodhani serikali ingeomba fund za kutekeleza huu mradi nadhani ingekuwa ni rahisi zaidi kuliko nyie kama diaspora,kumbuka huu ni mradi mkubwa sana,ni hilo tu napenda kujibiwa,Ahsante.

Jibu langu la msingi ni hili,Sisi watanzania tunaoishi nje ya Tanzania, Diaspora tumekuja na wazo na kuiomba serikali itupe ruhusa ya kufanya utafiti ili majibu yake yatatupa gharama za ujenzi.Katika ujenzi kuna mbinu mbili ambazo zinaweza kutumika ambayo ni PPP hii anaweza hata Bakhresa kuingiza pesa na ingine ni maataasisi kama worldbank na mengineyo.
Kwa maelezo haya toka mwanzo watu hawataki kuelewa na kuanza kupindisha story.Hakuna mwanadiaspora atakaechangishwa hata buku.
Sasa wakejeli wasikejeli serikali ikiruhusu tu watu wajiandae kupiga Selfie kwenye Daraja.Haya ndio maelezo ya mwisho.

Mdau mwingine akauliza hivi,kuna tofauti ya tunnel na floating bridge.
19km bridge iliyojengwa na Russians na kuzinduliwa mwaka huu imegharimu dola 3.6bn sasa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ni 30km halafu ni floating na pia litapita juu, sasa hapo kuna njia za meli zitazibwa... naomba nipate official tamko kuhusu ujenzi wa daraja la Zanzibar to Dar kama ni la ukweli.

Jibu langu ni hili,katika kila ujenzi unatofautiana na Teknologi,kuna za bei ndogo na kubwa sasa kwa upande wa daraja la znz-dar majibu ya gharama yatapatikana baada ya upembuzi yakinifu.Daraja la Russia wao walitumia Teknologi ya Russia na hili tunatarajia kutumia teknoloji ya Nchi ingine.Katika swala la jinsi gani meli zitapita hili ni jambo jepesi sana kwani uwezekano upo na mfano ni kama huu katika picha hapo chini.

-Umuhimu wa daraja litalotoka Dar - Zanzibar.

Ni daraja ambalo lilitakiwa kujengwa siku nyingi hasa kwa sababu Zanzibar ni kituo kivutio kikubwa cha utalii duniani. Watalii wengi wanaishia Dar kwa sababu ya adha ya usafiri wa kuvuka kwenda Zanzibar.

Usafiri uliopo sasa ni wa boti ambao una mapungufu yafuatayo:

1. Wakati mwingine inabidi uwahi tiketi siku moja kabla.

2. Msongamano wa watu kwenye kupanda boti unafanya muda kamili wa safari kuwa ni zaidi ya masaa matatu.

3. Ratiba ni ya mchana tu. Chukulia uko Dar unataka kwenda Zanzibar saa kumi na mbili jioni unafanyaje? Au unataka kuanza safari saa tano kamili, muda ambao hakuna ratiba ya boti.

4. Usafiri wa vyombo vya abiria haupendelewi sana na watalii.

5. Boti za abiria hazibebi mizigo mingi.

Daraja linaondoa matatizo yote hayo. Mtalii anaweza kulala Double Tree Dar, saa nne na nusu akavuka daraja, saa tano yuko Zanzibar, akapiga picha zake saa tatu usiku akavuka daraja kurudi hotelini kwake Double Tree Dar.

Njia ya baiskeli ni kivutio kikubwa sana cha watalii. Wanaweza hata kufanya mashindano ya kuendesha baiskeli.

Daraja linaweza hata kuitwa daraja la muungano. Kwa sababu ni kiungo kinachounganisha bara na visiwani.

Ieleweke boti zinazovuka sasa hivi ni za binafsi. Siku moja kampuni ikisimamisha huduma kwa sababu yeyote ile usafiri utarudi kuwa ni wa vidau au ile meli kubwa ya zamani ya masaa sita kufika Zanzibar.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

Aisee mawazo mazuri sana..kwa serikali hii watapata ruhusa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kweli kila jambo lenye mafanikio chanya huanzania kwa kilichomo kwenye kichwa KILICHOTUAMA cha Binadamu makini.Kisha wazo hilo linafanyiwa kazi kwa kuzingatia Ulazima,Faida na Hasara pamoja na Kipaumbele na sababu kama zipo kwa mustakabali wa maisha ya Watu,hoja ya Usalama ikitiliwa maanani.
Kwa hili la Daraja la Dar>>Z'bar ni wazo la sinema ya Kufikirka la kujenga ghorofa kwa "ice blocks"
Enyi walilia Uraia pacha wa huko ughaibuni ,changamsheni vichwa na muwekeze ama kubuni miradi itakayo kuwa na tija ya moja kwa moja kwa Watu hasa Wananchi.Mbona nafasi za kujibwaga kiuwekezaji zipo tele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daraja aina hii lipo Seattle Washington State US.
Linaitwa Evergreen Point Floating Bridge.
Urefu wake ni 2,350 meters tu! (sehemu inayoelea)
Ujenzi wake ulikamilika 2016
Lina njia (lanes) 6
Lina maboya (yanayoliwezeesha kuelea) ya zege 77 yenye uzito wa Tani 10,000 kila moja urefu mita 110, upana mita 23 na kimo mita 8 na nusu.
Maboya mengine 54 kila moja lina uzito wa tani 2,300 na kadhalika.
Gharama yake US $ 4.5 billions
Karibu sawa na bomba la mafuta toka Uganda mpaka Tanga!
Umbali Dar Zanzibar 90 km
Hiyo ni sawa na madaraja 39 ya Seattle!
Au madaraja 19 kati ya Bagamoyo na Zanzibar 45 km!

Garama sawa na 4.5×39= US $175.5 billions!
Ni kama T. Sh. 403,650,000,000
Hawa wanaojiita diaspora wa TZ achaneni nao ni washamba tu.[emoji7]


Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji769]Hawo diaspora wanapata wapi iyo Tirion 403. Bank ya dunia haiwezi kuwakopesha pesa nyingi iyo. Kama wana pesa waje wafungue HUB nyingi za kilimo cha mboga mboga na kupeleka uko ulaya na sio kutaka mambo ambayo hawawezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: PNC
MDAU WA DIASPORA AJIBU MASWALI KUHUSU DARAJA LITALOJENGWA KUTOKA DAR HADI ZANZIBAR.

Leo 19:15pm,28/12/2019

Kutokana na Mgongangano wa mawazo ili Watanzania tufikie lengo kuu lenye kuleta tija,Mdau wa Diaspora amejibu maswali kiufasaha kuhusu ujenzi wa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ili wadau waelewe nini hasa kimewapelekea kuomba ruhusu kwa Serikali ili waweze kujenga daraja hilo.

Mdau huyo akielezea hayo amesema tayari wana miradi saba kwa jumla ambayo wameazimia kuiwakilisha kuanzia mwaka ujao na yote imepitishwa katika azimio la utekelezaji.

Kiuhalisia daraja kutoka Dar hadi Zanzibar likijengwa litaingia kwenye Guinness book kama daraja refu kabisa linaloelea baharini kwa lugha ya beberu "the longest floating bridge" kwa sasa daraja refu kabisa lina 2km hili la Dar hadi Zanzibar litakuwa na 30km.

Tashwishi ni kubwa na maswali ni mengi kuliko majibu, na muda ni mchache na Watanzania waishio nje wameamua kujenga daraja hilo kuunga mkono juhudi za Rais Mzalendo kabisa,Daktari John Pombe Magufuli.

Swali la msingi kutoka kwa Mwananchi wa Tanzania aliyetaka kujua zaidi kuhusu ujenzi wa daraja hilo,ni kwamba ninyi Watanzania mnaoishi nje ya Nchi mnawezaje kwenda kuomba hela kwa wafadhili kuja kutekeleza suala kubwa kama hili ambalo ni kazi ya serikali na ninavyodhani serikali ingeomba fund za kutekeleza huu mradi nadhani ingekuwa ni rahisi zaidi kuliko nyie kama diaspora,kumbuka huu ni mradi mkubwa sana,ni hilo tu napenda kujibiwa,Ahsante.

Jibu langu la msingi ni hili,Sisi watanzania tunaoishi nje ya Tanzania, Diaspora tumekuja na wazo na kuiomba serikali itupe ruhusa ya kufanya utafiti ili majibu yake yatatupa gharama za ujenzi.Katika ujenzi kuna mbinu mbili ambazo zinaweza kutumika ambayo ni PPP hii anaweza hata Bakhresa kuingiza pesa na ingine ni maataasisi kama worldbank na mengineyo.
Kwa maelezo haya toka mwanzo watu hawataki kuelewa na kuanza kupindisha story.Hakuna mwanadiaspora atakaechangishwa hata buku.
Sasa wakejeli wasikejeli serikali ikiruhusu tu watu wajiandae kupiga Selfie kwenye Daraja.Haya ndio maelezo ya mwisho.

Mdau mwingine akauliza hivi,kuna tofauti ya tunnel na floating bridge.
19km bridge iliyojengwa na Russians na kuzinduliwa mwaka huu imegharimu dola 3.6bn sasa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ni 30km halafu ni floating na pia litapita juu, sasa hapo kuna njia za meli zitazibwa... naomba nipate official tamko kuhusu ujenzi wa daraja la Zanzibar to Dar kama ni la ukweli.

Jibu langu ni hili,katika kila ujenzi unatofautiana na Teknologi,kuna za bei ndogo na kubwa sasa kwa upande wa daraja la znz-dar majibu ya gharama yatapatikana baada ya upembuzi yakinifu.Daraja la Russia wao walitumia Teknologi ya Russia na hili tunatarajia kutumia teknoloji ya Nchi ingine.Katika swala la jinsi gani meli zitapita hili ni jambo jepesi sana kwani uwezekano upo na mfano ni kama huu katika picha hapo chini.

-Umuhimu wa daraja litalotoka Dar - Zanzibar.

Ni daraja ambalo lilitakiwa kujengwa siku nyingi hasa kwa sababu Zanzibar ni kituo kivutio kikubwa cha utalii duniani. Watalii wengi wanaishia Dar kwa sababu ya adha ya usafiri wa kuvuka kwenda Zanzibar.

Usafiri uliopo sasa ni wa boti ambao una mapungufu yafuatayo:

1. Wakati mwingine inabidi uwahi tiketi siku moja kabla.

2. Msongamano wa watu kwenye kupanda boti unafanya muda kamili wa safari kuwa ni zaidi ya masaa matatu.

3. Ratiba ni ya mchana tu. Chukulia uko Dar unataka kwenda Zanzibar saa kumi na mbili jioni unafanyaje? Au unataka kuanza safari saa tano kamili, muda ambao hakuna ratiba ya boti.

4. Usafiri wa vyombo vya abiria haupendelewi sana na watalii.

5. Boti za abiria hazibebi mizigo mingi.

Daraja linaondoa matatizo yote hayo. Mtalii anaweza kulala Double Tree Dar, saa nne na nusu akavuka daraja, saa tano yuko Zanzibar, akapiga picha zake saa tatu usiku akavuka daraja kurudi hotelini kwake Double Tree Dar.

Njia ya baiskeli ni kivutio kikubwa sana cha watalii. Wanaweza hata kufanya mashindano ya kuendesha baiskeli.

Daraja linaweza hata kuitwa daraja la muungano. Kwa sababu ni kiungo kinachounganisha bara na visiwani.

Ieleweke boti zinazovuka sasa hivi ni za binafsi. Siku moja kampuni ikisimamisha huduma kwa sababu yeyote ile usafiri utarudi kuwa ni wa vidau au ile meli kubwa ya zamani ya masaa sita kufika Zanzibar.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854
Kutoka Dar hadi Zanzibar ni km30?
Kwa data zipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daraja aina hii lipo Seattle Washington State US.
Linaitwa Evergreen Point Floating Bridge.
Urefu wake ni 2,350 meters tu! (sehemu inayoelea)
Ujenzi wake ulikamilika 2016
Lina njia (lanes) 6
Lina maboya (yanayoliwezeesha kuelea) ya zege 77 yenye uzito wa Tani 10,000 kila moja urefu mita 110, upana mita 23 na kimo mita 8 na nusu.
Maboya mengine 54 kila moja lina uzito wa tani 2,300 na kadhalika.
Gharama yake US $ 4.5 billions
Karibu sawa na bomba la mafuta toka Uganda mpaka Tanga!
Umbali Dar Zanzibar 90 km
Hiyo ni sawa na madaraja 39 ya Seattle!
Au madaraja 19 kati ya Bagamoyo na Zanzibar 45 km!

Garama sawa na 4.5×39= US $175.5 billions!
Ni kama T. Sh. 403,650,000,000
Hawa wanaojiita diaspora wa TZ achaneni nao ni washamba tu.[emoji7]


Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani Trillion 403,aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao diaspora kujeshebedua kote huko kumbe mipango ni kuomba hela kwa mabeberu,mie nilidhani wanajichanga kutoka kwenye vipato vyao.
 
Hao diaspora kujeshebedua kote huko kumbe mipango ni kuomba hela kwa mabeberu,mie nilidhani wanajichanga kutoka kwenye vipato vyao.
sasa mfukoni watoe wapi ela wakati wanasubiri vibibi wanavyovikata viage dunia wajichukulie pensheni
 
Hawa jamaa wanaoishi nchi za nje maisha ni magumu hadi wamedata, haya sio mawazo ya mtu mwenye akili timamu. Huyu ni DR Shika mwingine. Nchi za nje sio sehemu nzuri.
Chief naomba nikucheki PM tutete ishu fulani. Unaweza kunichek yangu ipo wazi.
 
MDAU WA DIASPORA AJIBU MASWALI KUHUSU DARAJA LITALOJENGWA KUTOKA DAR HADI ZANZIBAR.

Leo 19:15pm,28/12/2019

Kutokana na Mgongangano wa mawazo ili Watanzania tufikie lengo kuu lenye kuleta tija,Mdau wa Diaspora amejibu maswali kiufasaha kuhusu ujenzi wa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ili wadau waelewe nini hasa kimewapelekea kuomba ruhusu kwa Serikali ili waweze kujenga daraja hilo.

Mdau huyo akielezea hayo amesema tayari wana miradi saba kwa jumla ambayo wameazimia kuiwakilisha kuanzia mwaka ujao na yote imepitishwa katika azimio la utekelezaji.

Kiuhalisia daraja kutoka Dar hadi Zanzibar likijengwa litaingia kwenye Guinness book kama daraja refu kabisa linaloelea baharini kwa lugha ya beberu "the longest floating bridge" kwa sasa daraja refu kabisa lina 2km hili la Dar hadi Zanzibar litakuwa na 30km.

Tashwishi ni kubwa na maswali ni mengi kuliko majibu, na muda ni mchache na Watanzania waishio nje wameamua kujenga daraja hilo kuunga mkono juhudi za Rais Mzalendo kabisa,Daktari John Pombe Magufuli.

Swali la msingi kutoka kwa Mwananchi wa Tanzania aliyetaka kujua zaidi kuhusu ujenzi wa daraja hilo,ni kwamba ninyi Watanzania mnaoishi nje ya Nchi mnawezaje kwenda kuomba hela kwa wafadhili kuja kutekeleza suala kubwa kama hili ambalo ni kazi ya serikali na ninavyodhani serikali ingeomba fund za kutekeleza huu mradi nadhani ingekuwa ni rahisi zaidi kuliko nyie kama diaspora,kumbuka huu ni mradi mkubwa sana,ni hilo tu napenda kujibiwa,Ahsante.

Jibu langu la msingi ni hili,Sisi watanzania tunaoishi nje ya Tanzania, Diaspora tumekuja na wazo na kuiomba serikali itupe ruhusa ya kufanya utafiti ili majibu yake yatatupa gharama za ujenzi.Katika ujenzi kuna mbinu mbili ambazo zinaweza kutumika ambayo ni PPP hii anaweza hata Bakhresa kuingiza pesa na ingine ni maataasisi kama worldbank na mengineyo.
Kwa maelezo haya toka mwanzo watu hawataki kuelewa na kuanza kupindisha story.Hakuna mwanadiaspora atakaechangishwa hata buku.
Sasa wakejeli wasikejeli serikali ikiruhusu tu watu wajiandae kupiga Selfie kwenye Daraja.Haya ndio maelezo ya mwisho.

Mdau mwingine akauliza hivi,kuna tofauti ya tunnel na floating bridge.
19km bridge iliyojengwa na Russians na kuzinduliwa mwaka huu imegharimu dola 3.6bn sasa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ni 30km halafu ni floating na pia litapita juu, sasa hapo kuna njia za meli zitazibwa... naomba nipate official tamko kuhusu ujenzi wa daraja la Zanzibar to Dar kama ni la ukweli.

Jibu langu ni hili,katika kila ujenzi unatofautiana na Teknologi,kuna za bei ndogo na kubwa sasa kwa upande wa daraja la znz-dar majibu ya gharama yatapatikana baada ya upembuzi yakinifu.Daraja la Russia wao walitumia Teknologi ya Russia na hili tunatarajia kutumia teknoloji ya Nchi ingine.Katika swala la jinsi gani meli zitapita hili ni jambo jepesi sana kwani uwezekano upo na mfano ni kama huu katika picha hapo chini.

-Umuhimu wa daraja litalotoka Dar - Zanzibar.

Ni daraja ambalo lilitakiwa kujengwa siku nyingi hasa kwa sababu Zanzibar ni kituo kivutio kikubwa cha utalii duniani. Watalii wengi wanaishia Dar kwa sababu ya adha ya usafiri wa kuvuka kwenda Zanzibar.

Usafiri uliopo sasa ni wa boti ambao una mapungufu yafuatayo:

1. Wakati mwingine inabidi uwahi tiketi siku moja kabla.

2. Msongamano wa watu kwenye kupanda boti unafanya muda kamili wa safari kuwa ni zaidi ya masaa matatu.

3. Ratiba ni ya mchana tu. Chukulia uko Dar unataka kwenda Zanzibar saa kumi na mbili jioni unafanyaje? Au unataka kuanza safari saa tano kamili, muda ambao hakuna ratiba ya boti.

4. Usafiri wa vyombo vya abiria haupendelewi sana na watalii.

5. Boti za abiria hazibebi mizigo mingi.

Daraja linaondoa matatizo yote hayo. Mtalii anaweza kulala Double Tree Dar, saa nne na nusu akavuka daraja, saa tano yuko Zanzibar, akapiga picha zake saa tatu usiku akavuka daraja kurudi hotelini kwake Double Tree Dar.

Njia ya baiskeli ni kivutio kikubwa sana cha watalii. Wanaweza hata kufanya mashindano ya kuendesha baiskeli.

Daraja linaweza hata kuitwa daraja la muungano. Kwa sababu ni kiungo kinachounganisha bara na visiwani.

Ieleweke boti zinazovuka sasa hivi ni za binafsi. Siku moja kampuni ikisimamisha huduma kwa sababu yeyote ile usafiri utarudi kuwa ni wa vidau au ile meli kubwa ya zamani ya masaa sita kufika Zanzibar.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

Muungano tulio sio ni shida, ni muungano wa vitisho, muungano wa unyonyaji, wazanzibari hawasikilizwi sio tu kwa mambo ya Muungano hata zile bidhaa zinazo toka Zanzibar tanganyika hazifiki.

Nadhani diaspora wangekuja na suluhisho la muungano kwa mawazo yao ili kuleta amani nchii hii, wangefanya jambo kubwa na kihistoria.

Hilo daraja jengeni kwa vile muungano wazanzibari hawautaki nawahakikishia litapigwa mizinga, labda mulinde usiku mchana
 
Kuna daraja la kutoka China bara kwenda Hong Kong....nadhani ndiyo refu zaidi duniani...tuambizaneni?
 
Diaspora kama mnataka faida wekezeni Chattle...biashara ni pasu pasu kwa muda muafaka

huku kwenye daraja hasara tarajiwa ni kubwa...

ukitilia maanani vile vikundi vya kigaidi,na uwezekano wa kulilipua..

bado muungano wenyewe ni shida shida na minongono ni mingi


Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika
 
Hao wakiweza kujenga hilo daraja basi dunia nzima itaunganishwa na barabara
MDAU WA DIASPORA AJIBU MASWALI KUHUSU DARAJA LITALOJENGWA KUTOKA DAR HADI ZANZIBAR.

Leo 19:15pm,28/12/2019

Kutokana na Mgongangano wa mawazo ili Watanzania tufikie lengo kuu lenye kuleta tija,Mdau wa Diaspora amejibu maswali kiufasaha kuhusu ujenzi wa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ili wadau waelewe nini hasa kimewapelekea kuomba ruhusu kwa Serikali ili waweze kujenga daraja hilo.

Mdau huyo akielezea hayo amesema tayari wana miradi saba kwa jumla ambayo wameazimia kuiwakilisha kuanzia mwaka ujao na yote imepitishwa katika azimio la utekelezaji.

Kiuhalisia daraja kutoka Dar hadi Zanzibar likijengwa litaingia kwenye Guinness book kama daraja refu kabisa linaloelea baharini kwa lugha ya beberu "the longest floating bridge" kwa sasa daraja refu kabisa lina 2km hili la Dar hadi Zanzibar litakuwa na 30km.

Tashwishi ni kubwa na maswali ni mengi kuliko majibu, na muda ni mchache na Watanzania waishio nje wameamua kujenga daraja hilo kuunga mkono juhudi za Rais Mzalendo kabisa,Daktari John Pombe Magufuli.

Swali la msingi kutoka kwa Mwananchi wa Tanzania aliyetaka kujua zaidi kuhusu ujenzi wa daraja hilo,ni kwamba ninyi Watanzania mnaoishi nje ya Nchi mnawezaje kwenda kuomba hela kwa wafadhili kuja kutekeleza suala kubwa kama hili ambalo ni kazi ya serikali na ninavyodhani serikali ingeomba fund za kutekeleza huu mradi nadhani ingekuwa ni rahisi zaidi kuliko nyie kama diaspora,kumbuka huu ni mradi mkubwa sana,ni hilo tu napenda kujibiwa,Ahsante.

Jibu langu la msingi ni hili,Sisi watanzania tunaoishi nje ya Tanzania, Diaspora tumekuja na wazo na kuiomba serikali itupe ruhusa ya kufanya utafiti ili majibu yake yatatupa gharama za ujenzi.Katika ujenzi kuna mbinu mbili ambazo zinaweza kutumika ambayo ni PPP hii anaweza hata Bakhresa kuingiza pesa na ingine ni maataasisi kama worldbank na mengineyo.
Kwa maelezo haya toka mwanzo watu hawataki kuelewa na kuanza kupindisha story.Hakuna mwanadiaspora atakaechangishwa hata buku.
Sasa wakejeli wasikejeli serikali ikiruhusu tu watu wajiandae kupiga Selfie kwenye Daraja.Haya ndio maelezo ya mwisho.

Mdau mwingine akauliza hivi,kuna tofauti ya tunnel na floating bridge.
19km bridge iliyojengwa na Russians na kuzinduliwa mwaka huu imegharimu dola 3.6bn sasa daraja kutoka Dar hadi Zanzibar ni 30km halafu ni floating na pia litapita juu, sasa hapo kuna njia za meli zitazibwa... naomba nipate official tamko kuhusu ujenzi wa daraja la Zanzibar to Dar kama ni la ukweli.

Jibu langu ni hili,katika kila ujenzi unatofautiana na Teknologi,kuna za bei ndogo na kubwa sasa kwa upande wa daraja la znz-dar majibu ya gharama yatapatikana baada ya upembuzi yakinifu.Daraja la Russia wao walitumia Teknologi ya Russia na hili tunatarajia kutumia teknoloji ya Nchi ingine.Katika swala la jinsi gani meli zitapita hili ni jambo jepesi sana kwani uwezekano upo na mfano ni kama huu katika picha hapo chini.

-Umuhimu wa daraja litalotoka Dar - Zanzibar.

Ni daraja ambalo lilitakiwa kujengwa siku nyingi hasa kwa sababu Zanzibar ni kituo kivutio kikubwa cha utalii duniani. Watalii wengi wanaishia Dar kwa sababu ya adha ya usafiri wa kuvuka kwenda Zanzibar.

Usafiri uliopo sasa ni wa boti ambao una mapungufu yafuatayo:

1. Wakati mwingine inabidi uwahi tiketi siku moja kabla.

2. Msongamano wa watu kwenye kupanda boti unafanya muda kamili wa safari kuwa ni zaidi ya masaa matatu.

3. Ratiba ni ya mchana tu. Chukulia uko Dar unataka kwenda Zanzibar saa kumi na mbili jioni unafanyaje? Au unataka kuanza safari saa tano kamili, muda ambao hakuna ratiba ya boti.

4. Usafiri wa vyombo vya abiria haupendelewi sana na watalii.

5. Boti za abiria hazibebi mizigo mingi.

Daraja linaondoa matatizo yote hayo. Mtalii anaweza kulala Double Tree Dar, saa nne na nusu akavuka daraja, saa tano yuko Zanzibar, akapiga picha zake saa tatu usiku akavuka daraja kurudi hotelini kwake Double Tree Dar.

Njia ya baiskeli ni kivutio kikubwa sana cha watalii. Wanaweza hata kufanya mashindano ya kuendesha baiskeli.

Daraja linaweza hata kuitwa daraja la muungano. Kwa sababu ni kiungo kinachounganisha bara na visiwani.

Ieleweke boti zinazovuka sasa hivi ni za binafsi. Siku moja kampuni ikisimamisha huduma kwa sababu yeyote ile usafiri utarudi kuwa ni wa vidau au ile meli kubwa ya zamani ya masaa sita kufika Zanzibar.

Nikiishia hapa,Mimi ni,
Msemakweli Chakubanga,
Dar es Salaam.
0755078854

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom