Mdau wa Twitter: Makanisa yamegeuka maeneo ya kuoneshea ufahari na utajiri wa watu

Mdau wa Twitter: Makanisa yamegeuka maeneo ya kuoneshea ufahari na utajiri wa watu

I am Groot

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2018
Posts
3,929
Reaction score
10,747
Makanisa yamegeuka maeneo ya kuoneshea Ufahari na Utajiri wa watu. Aliyetoa msaada wa Mabenchi anataka jina lake liandikwe kwenye mabenchi hayo, anayetoa msaada wa Vigae anataka jina lake litajwe mbele ya waumini wote na apigiwe makofi nk. Wewe usiye na uwezo huna nafasi tena.
 
Makanisa yamegeuka maeneo ya kuoneshea Ufahari na Utajiri wa watu. Aliyetoa msaada wa Mabenchi anataka jina lake liandikwe kwenye mabenchi hayo, anayetoa msaada wa Vigae anataka jina lake litajwe mbele ya waumini wote na apigiwe makofi nk. Wewe usiye na uwezo huna nafasi tena.
Ndo unajua leo..?
Kwani hamjui hata dini ni utawala..?

Unahabari Kuna vitu huwezi vifanya mpk ufate matakwa fulani ya dini na sio lazima uwe muumini!,unajua kama tunatawaliwa kwa kupitia misingi ya dini pasipo wengi kufahamu..?
Haya mnayoyaona ni machache ya yale makubwa mliyoshindwa kuyaona na bado watu watazinajisi imani sana tu!.
 
Back
Top Bottom