Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Ngoja kesi iwaone hawastahili kuwa wabunge.Iwapo kesi hii haitoingiliwa, na Mahakama ikawa huru, huku hukumu ikiwa ni Mdee na Wenzake hawakuwa wabunge halali. Je, Mdee na Wenzake, hawawezi kutakiwa na Mahakama kurudisha fedha za ubunge walizolipwa pasipo kustahili?
Mimi nashauri,, kama kisheria inawezekana, kina Kibatala waiombe Mahakama iwaamuru Mdee na Wenzake walipe fedha zote walizolipwa iwapo watashindwa kesi.Kibatala ufafanuzi tafadhali
Umesahau kuwa, japo serikali ambaye ni mimi na wewe na ambaye ndiye anapata hasara kubwa kwa uwepo wa hawa covid19 bungeni lakini bado ndiye huyo huyo anawatetea na hata nadhan kawafinance hao covid ili kuweka mawakili.yaani kwenye hii kesi mwenye hasara namba moja ni serikali kwa kulipa watu wasio halali,
mnufaika ni covid 19,
ila cha ajabu mlalamikaji ni chadema[emoji16][emoji16].
serikali ambayo ndiye anayepata hasara hashtuki na zaidi ni kama anaweka kikwapa,ila jamaa zangu wamekomaa kama wana visa na hao wanamama.
UJINGA TU.
swadaktaIambatane na kushtakiwa wote ndugai et al kwà kuchezea katiba
Chadema inaumia kwasababu hawa mal@ya wananajisi katiba kupitia mgongo wake na jina lake hivi wewe utafurahi jitu likiiba bank kwakutumia jina lako? Hutaumia kisa huwalipi wewe hawakuibii wewe? Ila vipi kuhusu jina na saini yako kutumika kughushi nyaraka? Chadema wako sahihi.yaani kwenye hii kesi mwenye hasara namba moja ni serikali kwa kulipa watu wasio halali,
mnufaika ni covid 19,
ila cha ajabu mlalamikaji ni chadema😁😁.
serikali ambayo ndiye anayepata hasara hashtuki na zaidi ni kama anaweka kikwapa,ila jamaa zangu wamekomaa kama wana visa na hao wanamama.
UJINGA TU.
Kiendacho kwa wapambe wa chama chawala huwa hakirudiIwapo kesi hii haitoingiliwa, na Mahakama ikawa huru, huku hukumu ikiwa ni Mdee na Wenzake hawakuwa wabunge halali. Je, Mdee na Wenzake, hawawezi kutakiwa na Mahakama kurudisha fedha za ubunge walizolipwa pasipo kustahili?
Maisha duara kaka nani alijua mwaka 2022 sabaya ataota nundu kisogoni?Kiendacho kwa wapambe wa chama chawala huwa hakirudi
wivu wa kike tu.Chadema inaumia kwasababu hawa mal@ya wananajisi katiba kupitia mgongo wake na jina lake hivi wewe utafurahi jitu likiiba bank kwakutumia jina lako? Hutaumia kisa huwalipi wewe hawakuibii wewe? Ila vipi kuhusu jina na saini yako kutumika kughushi nyaraka? Chadema wako sahihi.
Hawawezi kurudisha kwa vile walilipwa kwa kazi halali waliyokuwa wakifanya wakati huo. Ila wakishindwa kesi, basi mishahara yao itaishia siku ambayo spika atatangaza kuwa viti vyao viko wazi. Spika akichelewa kuanzanga hilo kwa mwezi basi bado watalipwa katika mwezi huo kwa vile bado watakuwa wako kazini.Iwapo kesi hii haitoingiliwa, na Mahakama ikawa huru, huku hukumu ikiwa ni Mdee na Wenzake hawakuwa wabunge halali. Je, Mdee na Wenzake, hawawezi kutakiwa na Mahakama kurudisha fedha za ubunge walizolipwa pasipo kustahili?
Amen. Ili iwe fundisho kwa wenye tamaa za kishetani.Iwapo kesi hii haitoingiliwa, na Mahakama ikawa huru, huku hukumu ikiwa ni Mdee na Wenzake hawakuwa wabunge halali. Je, Mdee na Wenzake, hawawezi kutakiwa na Mahakama kurudisha fedha za ubunge walizolipwa pasipo kustahili?
SAFI kabisaIambatane na kushtakiwa wote ndugai et al kwà kuchezea katiba
Wakiachiwa mali ya wizi itahalalisha wizi.Mmehamia kwenye mishahara 😂 chadema bhana
Kama alivyoendelea kulipwa Cecil Mwambe baada ya kujivua uanachama mwenyewe? Kuna mengi ya kuyafukua kabla hatujaelewana.Hawawezi kurudisha kwa vile walilipwa kwa kazi halali waliyokuwa wakifanya wakati huo. Ila wakishindwa kesi, basi mishahara yao itaishia siku ambayo spika atatangaza kuwa viti vyao viko wazi. Spika akichelewa kuanzanga hilo kwa mwezi basi bado watalipwa katika mwezi huo kwa vile bado watakuwa wako kazini.