Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa afrika bwana,yaani kwao huwa hawaamini kama mtu anaweza kumpenda mtu na kumfanyia vitu vizuri,kwa sababu pengine hawakuzoea kupendwa na kujaliwa tangu utotoni.
Acha hawa ni wapenzi tu,wengine hata mtu akimpenda na kumjali mke wake wa ndoa anaambiwa ni
nguvu za giza
Ndio maana kuna mtu sgnature yake inasema Miafrika ndivyo tulivyo.