Mdogo Mdogo Hadi kwa Binamu.....🍷

Mdogo Mdogo Hadi kwa Binamu.....🍷

Hajanifukuza nimemuaga japo alitaka niendelee kukaa kwake...

Usingizi umenizidia, hapa najiandaa kulala.

Maana sijalala usiku mzima, niliogopa kumchekea nyani..[emoji1] asubuhi hii ningejikuta nakula mabua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom