Mashamba Makubwa Nalima
JF-Expert Member
- Mar 19, 2024
- 4,978
- 2,411
Kashapewa chake huyoo,tunataka vyeti tuu..madawa yasitumike kuhalalisha kugushi cheti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashapewa chake huyoo,tunataka vyeti tuu..madawa yasitumike kuhalalisha kugushi cheti
Mimi huyu anaejiita mdogo wake Gwajima nashindwa kumuelewa. Kama anamaanisha kuwa gwajima anajihusisha na madawa si wampeleke mahakamani. Swala la msingi analolopinga gwajima ni namna alivyozalilishwa na wengine wote.
Hasa kwa kuzingatia kuwa nchi ina vyombo vya dola vinavyofanya kazi kisheria. Ambao hao ndio kimsingi ndio waliopaswa kulichunguza jambo na kisha kuja uthibitisho wa kiupelelezi, na sio kukurupuka na kuwachafua watu. Shame on ccm and Daudi Bashite.
hapa Cheti tu
Duh!Gwaijima kwao ndio last born huyo mdg wake katokea wapi
Duh!Hahahahaha
Huyu Jamaa anaitwa Joshua Chiwanga nimesoma naye kwa nimjuavyo mimi wala hana undugu na Gwajima...Labda undugu wa kupewa ili ifanyike Press Conference ya kumtetea Gwajima.....
Hahahaha Joshua naona umekuwa mpunga ndugu yangu....Tukumbukane aisee!
Huyo sio mdogo wake kwakweli...yani ndugu yako wa dam kabisa anatuhumiwa kuuza unga anadakwa na kulala central ...badala ya kumsaidia unasema ujinga kama huo..ety serikali inamlea sana Gwajima....ety anatuhumiwa vingi sana...hajamfufua baba wa watoto yatima ....huyu ni mjinga....kwaiyo anaisapport serikali imkandamize kaka yake...imfunge...imtuhumu kwa kuuza unga...huyu dogo anabidi akapimwe akili...Na sidhani kama ni mdogo wake wa kweli
Hivi inakuwaje Mpaka unakubali kutumika against ndugu yako?