Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Huenda wengi wanakumbana na hii changamoto na niseme ukweli huwa inanikwaza sana. Mdogo wake wife wa kike huwa ana tabia ya kuja mlangoni na pia dirishani kusikiliza tukiwa tunafanya sex.
Nashindwa kumuadhibu au kumfukuza maana ni binti, Ila huu umbea anaofanya sijaukubali hata kidogo. Chumba anacholala kipo mbali kidogo na chetu, Ila ikifika mida ya 5 usiku ana tabia ya kujifanya anaenda mara sebuleni mara jikoni, Ila ghafla anasimama mlangoni kusikiliza.
Ikiwa siku za weekend huwa napenda kupiga game mida ya jioni hivi kwenye saa 11 hivi, basi atajizungusha zungusha nje mara huyo anasogea dirishani. Nimemuona mara mbili kwa kumvizia sana.
Nashindwa kumueleza wife kwa kuwa atahisi simpendi na namuonea mdogo wake au sitaki kukaa nae. Hii hali hupelekea kupunguza Moto kwa wife, maana atasikia kelele na maneno yote wife atayoongea akiwa anapata raha.
Ni mambo ya ajabu sana, ndugu lawama hawa. Nakosa hadi kui enjoy vizuri sababu ya kuheshimu ndugu.
Najua Kuna wengine mmewahi kupitia hii changamoto. Hebu nipeni wazi nifanyaje?
Nimtimue, tubadilishe ratiba ya sex tuwe tunatiana alfajiri? Ila alfajiri na usiku wa manane kiukweli siwezi kabisa, maana engine inakua imepoa sana
Nashindwa kumuadhibu au kumfukuza maana ni binti, Ila huu umbea anaofanya sijaukubali hata kidogo. Chumba anacholala kipo mbali kidogo na chetu, Ila ikifika mida ya 5 usiku ana tabia ya kujifanya anaenda mara sebuleni mara jikoni, Ila ghafla anasimama mlangoni kusikiliza.
Ikiwa siku za weekend huwa napenda kupiga game mida ya jioni hivi kwenye saa 11 hivi, basi atajizungusha zungusha nje mara huyo anasogea dirishani. Nimemuona mara mbili kwa kumvizia sana.
Nashindwa kumueleza wife kwa kuwa atahisi simpendi na namuonea mdogo wake au sitaki kukaa nae. Hii hali hupelekea kupunguza Moto kwa wife, maana atasikia kelele na maneno yote wife atayoongea akiwa anapata raha.
Ni mambo ya ajabu sana, ndugu lawama hawa. Nakosa hadi kui enjoy vizuri sababu ya kuheshimu ndugu.
Najua Kuna wengine mmewahi kupitia hii changamoto. Hebu nipeni wazi nifanyaje?
Nimtimue, tubadilishe ratiba ya sex tuwe tunatiana alfajiri? Ila alfajiri na usiku wa manane kiukweli siwezi kabisa, maana engine inakua imepoa sana