Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Check PM , nimekutumia nambaMkuu nikusaidie ..fanya kuni PM namba ya simu ya huyo shemeji yako ,...
Uzuri ni kwamba ana shida ya kisaikolojia ambayo nitaweza kumsaidia
Dawa mjirekodi mumpe flash asiwe anasumbukaHuenda wengi wanakumbana na hii changamoto na niseme ukweli huwa inanikwaza sana.
Mdogo wake wife wa kike huwa ana tabia ya kuja mlangoni na pia dirishani kusikiliza tukiwa tunafanya sex.
Nashindwa kumuadhibu au kumfukuza maana ni binti, Ila huu umbea anaofanya sijaukubali hata kidogo.
Chumba anacholala kipo mbali kidogo na chetu, Ila ikifika mida ya 5 usiku ana tabia ya kujifanya anaenda mara sebuleni mara jikoni, Ila ghafla anasimama mlangoni kusikiliza.
Ikiwa siku za weekend huwa napenda kupiga game mida ya jioni hivi kwenye saa 11 hivi, basi atajizungusha zungusha nje mara huyo anasogea dirishani. Nimemuona mara mbili kwa kumvizia sana.
Nashindwa kumueleza wife kwa kuwa atahisi simpendi na namuonea mdogo wake au sitaki kukaa nae.
Hii hali hupelekea kupunguza Moto kwa wife, maana atasikia kelele na maneno yote wife atayoongea akiwa anapata raha.
Ni mambo ya ajabu sana, ndugu lawama hawa. Nakosa hadi kui enjoy papuchi vizuri sababu ya kuheshimu ndugu.
Najua Kuna wengine mmewahi kupitia hii changamoto. Hebu nipeni wazi nifanyaje? Nimtimue, tubadilishe ratiba ya sex tuwe tunatiana alfajiri? Ila alfajiri na usiku wa manane kiukweli siwezi kabisa, maana engine inakua imepoa sana
Sio rahisi kihivyoWatu kama wewe ndio mnafanya wanaume wa Dar wazidi kusemwa vibaya!
Hivi unashindwa nini kumpiga nao huyo mdogo wake?[emoji39]
Linda Mambo??
Mkuu aliewachungulia ni wakike ni busara zaidi mkewe ndo amkanye. Angekua wakiume ndo kachungulia Baba ndo angedili nae.Mwanaume mzima kushunguliwa na shemej yako ukaenda kushtaki kwa mkeo Ni udhaifu na kutokujiamini Kama kichwa Cha familia.
Mwanaume Lazima ufanye maamuz na sio kulia Lia kwa mkeo.
Waache watanue vifua kwa faida ya kupata uzoefu legelege.Nonsense.
MmhIla ulimtomba?
Tafuta mziki mnene weka chumbani,Wakati wa show fungulia hata wakati Sio wa show fungulia kusudi ionekane ni mazoea.Huenda wengi wanakumbana na hii changamoto na niseme ukweli huwa inanikwaza sana.
Mdogo wake wife wa kike huwa ana tabia ya kuja mlangoni na pia dirishani kusikiliza tukiwa tunafanya sex.
Nashindwa kumuadhibu au kumfukuza maana ni binti, Ila huu umbea anaofanya sijaukubali hata kidogo.
Chumba anacholala kipo mbali kidogo na chetu, Ila ikifika mida ya 5 usiku ana tabia ya kujifanya anaenda mara sebuleni mara jikoni, Ila ghafla anasimama mlangoni kusikiliza.
Ikiwa siku za weekend huwa napenda kupiga game mida ya jioni hivi kwenye saa 11 hivi, basi atajizungusha zungusha nje mara huyo anasogea dirishani. Nimemuona mara mbili kwa kumvizia sana.
Nashindwa kumueleza wife kwa kuwa atahisi simpendi na namuonea mdogo wake au sitaki kukaa nae.
Hii hali hupelekea kupunguza Moto kwa wife, maana atasikia kelele na maneno yote wife atayoongea akiwa anapata raha.
Ni mambo ya ajabu sana, ndugu lawama hawa. Nakosa hadi kui enjoy papuchi vizuri sababu ya kuheshimu ndugu.
Najua Kuna wengine mmewahi kupitia hii changamoto. Hebu nipeni wazi nifanyaje? Nimtimue, tubadilishe ratiba ya sex tuwe tunatiana alfajiri? Ila alfajiri na usiku wa manane kiukweli siwezi kabisa, maana engine inakua imepoa sana
Ndo umeshatuwakilisha kwa kucomment tayari[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wahuni humu watakuja kucoment,
"Kwenye miti hamna wajenzi"[emoji4]
Naona ww ndio muhuni mwenyeweKuna wahuni humu watakuja kucoment,
"Kwenye miti hamna wajenzi"[emoji4]