Mdogo wa kike wa Mke wangu ana tabia ya kutusikiliza tukiwa tunafanya mapenzi

Dawa mjirekodi mumpe flash asiwe anasumbuka
 
Mwanaume mzima kushunguliwa na shemej yako ukaenda kushtaki kwa mkeo Ni udhaifu na kutokujiamini Kama kichwa Cha familia.

Mwanaume Lazima ufanye maamuz na sio kulia Lia kwa mkeo.
Mkuu aliewachungulia ni wakike ni busara zaidi mkewe ndo amkanye. Angekua wakiume ndo kachungulia Baba ndo angedili nae.

nb; Based on Tamaduni za Kiafrika.
 
We vipi unazingua kwenye swala dogo kama hilo,fanya kweli acha kulialia kama mvulana.
 
Aisee huyo dawa yake ni kumuita na kumueleza jambo analolifanya ili kama nayeye anamidadi mjue mnaimaliza vipi
 
Mwambie wewe mwenyewe kwa ukali...
Au siku akisimama mlangoni toka ghafla atapata hofu, aibu na hatarudia tena
Utakua kama unaenda kunywa maji😁
 
Tafuta mziki mnene weka chumbani,Wakati wa show fungulia hata wakati Sio wa show fungulia kusudi ionekane ni mazoea.

Atakuwa anasikia mziki unakita huku nyie mkiendelea na yenu
 
Haya mambo mengine ya hovyo sana....
Kutiananyege tu mxxuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…