jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,645
- 4,438
Mimi nilisha fukuza mashemeji wale wanaotaka kuja Nyumbani kwangu kutawala, Sasa hivi hata wakija kusalimia Watoto, hawaruhusiwi hata kugusa fridge, hata wakitaka maji ya kunywa, waombe kwa mmoja wa wanafamilia wa humo ndani!!Ulishawahi Mpa kipigo Mkeo?.
Kama ni hapana...tatizo Hilo.
Wakurya ninawaelewa sana, Wanawake wao Wana dharau, jeuri, ubabe.
Kadiri unavyowapa kipigo, ndivo wanakuona mwanaume .
Ungekua ushampiga, huyo Mdogo mtu angekua anakuogopa kama ukoma.
Hata Ivo nikupongeze sana, Wewe no mwanaume, Kuna wakati, kua chini hakumaanishi wewe ni Mdhaifu, Sasa basi, MDOGO MTU AONDOKE HIYO JUMATATU
NARUDIA, AONDOKE, AENDE KWAO TARIME
Sasa na wwe utaishije peke yako kwenye Dunia ya watu over 7b!!??MKIAMBIWA MSIOE MUWE MNAELEWA
TABU zote za nini hizi
Mkuu mchaga mtani wangu tuliza kichwa anza kuhamisha miamala yako na baba mtu asije hapo na mdgo mtu fukuza kwako na kwenye biashara zako usimuweke yajayo ukizubaa umeisha. Hamisha maisha yako una windwa kumbuka mtu mwenye hasira anaongea ukweli tupu.Wakuu naomba ushauri.
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mkewangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.
Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.
Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.
Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"
Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.
Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?
Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.
Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.
Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?
"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.
He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.
Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.
Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Hii vita ni kubwa sana jinsi nilivyoisoma.Hahah
Kwa nini shemeji yako anakudharau hivyo?
Tena wa jinsia Ke!?
Labda ndiyo mtego wa ubabe kawekewa ili anase wagawane Mali, kwa sababu hapo tukija kwenye mzizii Mkuu ni Mali ndiyo inatakiwa!!Tumia ubabe tu timua wote ndani ya nyumba.
Huyo mkeo mpe muda atarudi kwenye default factory settings
Kama Shemeji yake huyo ni Mwanamke,basi kabla hajamfukuza amgongee kwanza na ndiyo wataheshimiana!!Fukuza bint bila kumungalia mkeo na mdingi akija mpe wiki kadhaa kisha nauli kwao
Ukifatisha ya mkeo aje aishi hapo ndo umepotea hiyo nyumba mtakuwa wanaume wawili na wote wana mamlaka juu yake
Hii ndio source ya ugomvi wote, watu wanataka kuwa huru kujiachia jamaa anakaza.Jitahidi uwe na kipato chako tofauti na hivyo vipodozi vya mkeo
Busara zitumike, itaneni na mke wako chumbani mpange kumfurusha huyo dogo na maamuzi ya baba Kuja yasitishwe ila huyo shemeji ako ajuwe ni Kosa kuingilia mambo ya kifamilia. Nauli ya baba acha iliwe tuWakuu naomba ushauri.
Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mkewangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.
Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.
Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.
Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"
Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.
Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?
Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.
Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.
Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?
"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.
He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahu kutamka maneno kama haya asee.
Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.
Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.
Nawasilisha.
Kwa kawaida mkwe anatakiwa aende alipooa kijana wake, kama hana mtoto wa kiume, basi atulizane tuWazee wengine bana sijui wamekulia familia za vipi. Yaani hawana uti wa mgongo wa kiume kabisa.
Kuna koo mkwe kwanza akija kwako ni kachungulia juu juu na kusepa. Ila sio kukaa hapo hapo na kuweka Kambi.
Ulichoona ni "wake up call" kuna mambo yafuatayo kayafanyie kazi "talaka na kugawana mali" then kuna "kifo na kuchukua mali" utanishukuru tujikutana akheraKaka amentukana asee jana hiyo usiku...
Leo kila nikitaka andika huu uzi nashindwa asee.
Nawaza mpaka mushipa ya dam na hisi inataka kupasuka.
Hapo wanamsakia vijisababu tuAchana na huyo shemeji yako, tatizo ulilonalo ni mke wako.
Tayari anapanga kuachana na wewe, na Vikao wameshakaa. Ni swala la muda tuu.
Akiweza tu kumkontro Mkewe,hawo wengine mbona wanazibitika kirahisi tu!!Fukuza huyo dogo na baba yake.Mkeo akileta nyodo awafuate.Ukiwalea watakuzoea vibaya
Jamaa asipo mpa taraka mke wake lazima atakuja kuuwawa hata kwa sumuHicho alichokizungumza huyo binti ndio mpango mkakati walioupanga na dada yake.......hapo amekufikishia tu ujumbe ingawa amewahi kabla mipango haijakamilka........
Kuanzia sasa aanza kuishi kwa machale maana lolote linaweza kutokea Kwa wakati wowote......
Ni kweli mkuu hakuna mzee wa kikurya akaenda kuishi kwa mtoto wake wakike ningumu maana wazee waki kurya mara nyingi wanakuwa na wake wengi na watoto wengi na % kubwa wanakuwa siyo tegemezi kiasi cha kufikia kwenda kwa mabinti zao wakike.Kaka hao ni wajita Amna mkurya wa hivyo aisee. Hizo ni tabia za kijita ndo baba mkwe anaweza kwenda kwa binti yake akakaa ata mwaka lakini sio mkurya
Sema nini na wajita ninao wajua Mimi wanatabia ya kuroga wanaume sio mkurya
Sas fanya hivi mkalishe mkeo umuulize nilichokisikia kutoka kwa ndugu yako ni sahihi na wew unaitaji iwe Ivo tena ongea nae kwa upole tu
Akikujibu ndio basi usipoteze mda achana nae, akikujibu hapana mpige marufuku kukanyaga dukani tena ikibidi ilo duka uza si umesema wew ni mwajiliwa uqezi kukuosa pesa ya matumizi nyumbn. Yeyeabaki kuwa mama wa nyumbani tu aleee watoto
Shemeji hana kosa, issue ya kusema ampe talaka dada ake maana yake ni ujumbe ambao alikwisha jadiliana na dada ake, na dada ake akaonesha kuhitaji kuondoka!Cha msingi awape talaka wote ba mkwe, mke na shemej waondoke... Wanawake wapo wengi wanatafuta fursa..