Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Utakua unaishi kwenye nyumba yao ww sio bure.
Wanaanzaje kukufharau kiasi hicho. waambie wakatafute mteja muuze mgawane alaf ona reaction yao.

Cha kufanya, hilo duka uza vitu tunza hela, hiyo nyumba kachujue mkopo benki alafu ije ipigwe mnada. Kua kichaa vitu uza alafu wote fujuza. Wakishaondoka kafungue duka upya, jenga nyumba upya na usioe tena.
 
Mtoa mada kuna upande hujauelezea, unaishi kwako au kwa mkeo? Mkeo ana mkwanja kukuzidi? kama ndio basi hii ni sababu why wanakupanda kichwani kama ni vinginevyo basi hujitambui au usharogwa, shtuka.

Mimi nina hasira ningekua nishafukuza mtu na kibano juu ila sasa kama wao ndio wanakulea inabidi utulie tu.
 
Mkuu nakupongeza sana kwa hekima hiyo ya kuzuia hasira, niliwahi piga dogo langu kwa hasira niliumia sana kuona akitoka damu mdomoni na puani.

Jipe muda tafakari namna bora ya kutatua huo mgogoro kwa win-win state.
 
Anasema mpe dada yake talaka, mgawane mlivyochuma.
Vijana wa siku hizi bana, wanawaza mali tuu.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Inaonekana dada na mdogo ake wanaongea mengi juu ya Mangi(mume) hapo Mume ana chake- hiyo Ndoa ipo ICU hilo Duka la Vipodozi mke ameshaona mgodi na tayari ameshapiga picha kuwa jamaa (mume) haitajiki tena . Ushauri wangu .Mume afanye maujanja Duka lifirisike(Ahamishe mtaji na mali kwenye uwekezaji mpya bila wife kujua) Kisha amwache aanze upya!

Hapo anaishi at Death Row(kinachofuata kuuliwa au kuachwa bila mali) Mdogo wa Mkewe anongea kile kinachotoka kwenye Kinywa na akili ya dada ake! Shemeji ametumika kuleta ujumbe tu.
 
Hiyo biashara ya mkeo itakuponza upoteze familia. Jitahidi tafuta hela.
Lakini mdogo mtu kama hajaondoka basi wewe ni tatizo, wee ndionuondoke ukajifunze
 
Nahisi ndilo linalo fuatia kakaa
Pole kwa masahibu yanayokusibu.
Unaonesha wewe ni mtu mpole kupitiliza.

Pamoja na upole wako inabidi sasa uamke, hizo dalili walizoonesha mke na mdogo wake zinaweka uhai wako mashakani.
Mtimue huyo shemeji, na huyo mkeo mpe msimamo wako mpya utakaoutengeneza kuhuatia hili tukio.
 
Hapo huna chako mzee andika talaka uanze upya, wameshapanga muda sana huyo shemeji anakupa tu dondoo ya maamuzi.

Ukiweza kimbia ukaanze maisha pengine upya wewe wa kiume. Utakuja kufanya vitu ambavyo hukutegemea maishani, kimbia au toa talaka
 
Hakuna mchaga wala mkurya mpuuzi kama wewe na mkeo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Tatizo wanaume wa kichaga mnakuwaga wapole sana majumbani. Hapa nilikuwa naanzisha tifu sio la kawaida, mdogo mtu angerudi kwao katika hali mbaya na asingetamani tena kurudi hapo. Kama kuna consequence za kisheria ningezi face kuliko kudhalilishwa kwangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…