Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Kwa jinsi jf ilivyoharibika.... unaweza kukuta tunaumiza kichwa kutoa ushauri kumbe mtoa mada ni mtoto wa serikali amekaa kwenye kochi baada ya kushiba ugali na maharage akaamua atuchemshe akili watu wazima uku akituchora tu........

Nikilitazama uzito wa jambo na mtiririko wa majibu yake napata mashaka na ukweli wa tukio hili.....
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Mwanaume kuheshimika huanza na outlook yake. Yaani sura flani ya Mbuzi, no mazoea. Pole kijana. Binafsi mke wangu anafahamu fika sipendi ujinga.
 
Mimi huwa naitwa mkorofi bila sababu za msingi. Kwa mfano ningekuwa mimi ndio wewe huyo binti asingelala ndani usiku huo. Jinsi ulivyo mvumilivu umesema eti aondoke Jumatatu
Sio kulala ndani kwanza ujasili anautoa wapi wakuzungumza na mimi ivyo
 
Kwa jinsi jf ilivyoharibika.... unaweza kukuta tunaumiza kichwa kutoa ushauri kumbe mtoa mada ni mtoto wa serikali amekaa kwenye kochi baada ya kushiba ugali na maharage akaamua atuchemshe akili watu wazima uku akituchora tu........

Nikilitazama uzito wa jambo na mtiririko wa majibu yake napata mashaka na ukweli wa tukio hili.....
Huyu ni mpuuzi tu. Analeta ukabila. Toka lini baba wa kikurya akaenda/kuomba kuenda kwa mtoto wake tena binti aliyeolewa mzee akapewa mahali...

Mzee wa kikurya(baba) ni marufuku kuingia kwenye nyumba ya mtoto wake aliyeoa achilia mbali aliyeolewa...

Mdau apo kasema hili pia. Huyo sio mkurya maybe MJITA kama alivyosema.

Mkurya OG(MZANAKI, MKENYE ,MWIREGE, MNYABASI, MLENCHOKA, MUNCHARI, MKEROBA) ni marufuku kuingia kwenye nyumba ya mwana wake aliyeoa achilia mbali binti yake kirahisi rahisi tu kama anavyosema huyu mchaga mwenye kifadurooo...

Speaking from experience sana.

Nimeishi kanda ya ziwa (Mara, Mwanza,Geita) kamwe baba wa kikurya hamtembelei mwana wake akaingia ndani ya nyumba anayoshare na mke wake.

Baba yangu na uwezo wake wote kamwe hajawahi kutembelewa na baba yake kwake... Wala babu kizaa mama kamwe hajawahi ila mabibi hao ndo wanakujaga sana tu hata kwa case ndogo ndogo ila sio baba. Na ikitokea baba(babu) kaja we seek his shelter elsewhere nearby but never at home NEVER

Mtoa mada ni mchaga wa ovyo sana. FIDHURI KABISA. kama mtoa mada ni original representation ya wachaga basi hao watu are rotten to the core ndio maana na nchi hawatokaa wapewe...

He deserve it. SHUBAMITIIII
 
Ata mimi nimeshangaa Mzee wa kikurya akakae kwa mtoto wake wakike na Wazee wakikurya hawana njaa njaa sanaa kufikia kwenda kuishi kwa mtoto wake wakike.
Wazee wa Kikurya nao wanapenda ganda la ndizi siku hizi Kama Wazee wa Mombasa! Soon nao wataanza kushinda na Msuli tu bila puchi!![emoji3][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.

una autority kidoo sana kwenye familia yako. Jitafakari
 
Huyo baba mkwe akija usipige nae story kabisa akikaa sebuleni akiwa anaangalia TV unazima. Unakuja kukaa sebuleni na Boxer.

Hiyo familia haina adabu kabisa yaani baba mkwe anakuja kwenye mji bila kukujulisha?! Mtoto wa 98 anakutukana na unachekelea daah wengine sijui mnazaliwa vipi? Mtia adabu mkeo anza na kufukuza mdogo mtu kisha mtimue baba mkwe hawezi kuja kuvaamia makazi kama nzige bila taarifa.

Mkeo mpe onyo kubwa sana na hata ikibidi mrudishe kwao akajifunze adabu. Shemeji yako anatakiwa apewe adhabu ya Samweli Doe
 
Wazee wa Kikurya nao wanapenda ganda la ndizi siku hizi Kama Wazee wa Mombasa! Soon nao wataanza kushinda na Msuli tu bila puchi!![emoji3][emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana haita tokea kwanza wanakuwa na wake wengi na watoto wengi sirahisi kwenda kwa mtoto wake wakike labda kuwe na msiba au harusi huyo mchaga hataki kusema ukweli wazee wengi wakikurya wengi wao wanakuwa wastaafu wa Serikali kwaiyo wanakuwa na miji yao mizuri tu, huyu mchaga atakuwa ubinafsi unamsumbua unajua Jamii ya watu wa kaskazin wengi wao ni wabinafsi sana hasa kwenye maswala yaki jamii.

Na wazee wakikurya wakija Mjini mara nyingi ufikia kwa Ndugu jamaa na marafiki.
 
Kaka hao ni wajita Amna mkurya wa hivyo aisee. Hizo ni tabia za kijita ndo baba mkwe anaweza kwenda kwa binti yake akakaa ata mwaka lakini sio mkurya

Sema nini na wajita ninao wajua Mimi wanatabia ya kuroga wanaume sio mkurya

Sas fanya hivi mkalishe mkeo umuulize nilichokisikia kutoka kwa ndugu yako ni sahihi na wew unaitaji iwe Ivo tena ongea nae kwa upole tu

Akikujibu ndio basi usipoteze mda achana nae, akikujibu hapana mpige marufuku kukanyaga dukani tena ikibidi ilo duka uza si umesema wew ni mwajiliwa uqezi kukuosa pesa ya matumizi nyumbn. Yeyeabaki kuwa mama wa nyumbani tu aleee watoto
Mleta mada kasema ameoa mkurya, wewe unalazimisha mke wake awe mjita sababu wewe ni mkurya na huamini kama kuna wakurya wa aina hiyo ya "dada zako". Dunia na watu wake vinabadilika sana.

Baba wa kijita kwenda kuishi kwa kijana aliyeoa binti yake siyo jambo la kawaida labda kwa vile nyakati zinabadilika. Nachoweza kumshauri mleta mada, "awe macho" daloli ya mvua ni mawingu.
 
Huyu ni mpuuzi tu. Analeta ukabila. Toka lini baba wa kikurya akaenda/kuomba kuenda kwa mtoto wake tena binti aliyeolewa mzee akapewa mahali...

Mzee wa kikurya(baba) ni marufuku kuingia kwenye nyumba ya mtoto wake aliyeoa achilia mbali aliyeolewa...

Mdau apo kasema hili pia. Huyo sio mkurya maybe MJITA kama alivyosema.

Mkurya OG(MZANAKI, MKENYE ,MWIREGE, MNYABASI, MLENCHOKA, MUNCHARI, MKEROBA) ni marufuku kuingia kwenye nyumba ya mwana wake aliyeoa achilia mbali binti yake kirahisi rahisi tu kama anavyosema huyu mchaga mwenye kifadurooo...

Speaking from experience sana.

Nimeishi kanda ya ziwa (Mara, Mwanza,Geita) kamwe baba wa kikurya hamtembelei mwana wake akaingia ndani ya nyumba anayoshare na mke wake.

Baba yangu na uwezo wake wote kamwe hajawahi kutembelewa na baba yake kwake... Wala babu kizaa mama kamwe hajawahi ila mabibi hao ndo wanakujaga sana tu hata kwa case ndogo ndogo ila sio baba. Na ikitokea baba(babu) kaja we seek his shelter elsewhere nearby but never at home NEVER

Mtoa mada ni mchaga wa ovyo sana. FIDHURI KABISA. kama mtoa mada ni original representation ya wachaga basi hao watu are rotten to the core ndio maana na nchi hawatokaa wapewe...

He deserve it. SHUBAMITIIII

Mkuu vijana kabla ya kuoa jaribu kuangalia jamii unayotaka kuoa je mnaendana nayo kama mtoa mada ni mchaga kimalezi husingeoa Mwanamke kutoka kanda ya ziwa yani mtoa mada alitakiwa ao wanawake kutoka Kanda ya kwao kwasababu tabia zenu zinaendana za ubinafsi.

Mfano wewe umeoa mwanamme kutoka kanda ya ziwa utashangaa ukiona akipika chakula kingi na kuwapa majirani au akiombwa vitu na majirani yeye atakuwa anatoa siyo wachoyo, sasa wewe hujazoea kuona mambo kama hayo.

Wakati tupo wadogo mtaani kwetu kulikuwa na sherehe za kipaimara ukafika wakati wakula akatokea mama mmoja wa kipare akawa anatufukuza tusile chakula wakati sherehe ni ya mtoto mwenzetu ambaye tunacheza nae kila siku mtaani na shuleni.
 
Ataishia kukuzushia kesi kwamba ulimtongoza..hivi mkiambiwa tuachane tugawane Mali mnahofia Nini ..ngoja wakupoteze sasa kwa sumu
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Wote na mkeo inabidi wasepe kesho asbh na zile gari za saa 12,Hela ya kula wamuombe baba yao

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Umeyapika mwenyewe.....

Wameisha ksoma madhaifu yako..
Pole sana aisee,upo pabaya mno

Mwisho....kama mimi ningemfukuza siku hiyo hiyo atakama ni saa 9 usiku,ambaye angemtetea wangefuatana,
baba ake ningemzuia asije hiyo nauli ale tu huko maana kitendi cha mwanamke kumleta bila ushauri wangu ni dharau tosha....

TAHADHARI: WAKURYA WAACHIE WAKURYA
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
We vipi bwashee?
Umeweka ndani kanda maalum?
Utaweza?
 
Huvi, huwa mnaoa kutafta nini wakati wanawake wa kutom wako wengi namna hii! Yaani kwa nini ulioa!
Sasa mkuu credit Ni muhimu kuoa ili kupata uzao hata kam wanawake wanasumbua
 
Back
Top Bottom