Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

Dah nakosa hata cha kucoment, sema shida inaanzia hapa mlijenga nyumba kwa pamoja na wanajua fika huezi kuachana nae maana unahofia mtagawana mali.

My take; sioi mpaka nijikamilishe mambo yangu ya msingi nyumba, chakula, mavazi na usafiri, ili nikikutana na dhahama kama hii ning'oe toto la mtu meno, kwanza nimesahau sioi ng'oo
Marriage is a scam

Ukioa tu izo mali ni zenu na sio zako mkuu!!! Omba mungu akupe mke mwema.... ila issue ya mnama hapa inaonekana mpole shemeji anatoa wapi mamlaka yakuzungumza na mimi???
 
KUTANA NA MWANAUME WA KWANZA KUTUKANWA NA SHEMEJI YAKE(mdogo wake Mke)
JamiiForums354188766_620x596.jpg
 
Fukuzwa wote, la sivyo utafukuzwa wewe maana wameishakuona hauna msimamo, upole wako wautumia vibaya
 
Ujinga ulioufanya ni kutomla huyo shemeji yako, tafuta nafas umle, alafu atakuwa anakuletea umbea wote wanaoongea na dada yake then itakuwa rahis kwamdhibiti.
 
hiyo watu ukiishi nao mtu na dada yake bila kuwapelekea moto wote wanakuona hutoshi,bora purukushani itokee lasivyo watakuja kukulamba hadi makofi.
 
Kwa hiyo coincidence huna haja ya kuomba ushauri hata kwa wazee wa busara.

Mwanamke anapowekwa ndani tena kwa ridhaa ya wazazi wake means kauza sehemu KUBWA ya uhuru wake plus wazazi wake nao wametoa sehemu kuwa ya maamuzi juu ya binti yao na kukukabidhi wewe.

Lazima uwe mkakamavu kwenye familia

Usikubali unyonge kuanzia ukweni mpka ndani ya familia yako.

Huyo shemeji hapo hapo ndio ingekua red card yake.

Na mzee akija kaa nae umwambie kwako utamaduni wako nyumbani hawezi mwanamke kufanya maamuzi bila baraka zako kama mzee mtambuzi ataelewa ila akiwa mpumbavu atavuta mdomo.

Haya yote hakikisha hauishi au hutegemei nyumba ya wife au kipato chake kinakuweka mjini huu ushauri si mzuri kwako.

Kuwa aggressive ni LAZIMA
Dah! Bonge la ushauri mwamba, boss teleza na huu ushauri aisee
 
Natamaaa Yako itakuwa Kwa mumeo naye atakutawala
Umefeli kipengele Cha utawala
 
Kwa hiyo coincidence huna haja ya kuomba ushauri hata kwa wazee wa busara.

Mwanamke anapowekwa ndani tena kwa ridhaa ya wazazi wake means kauza sehemu KUBWA ya uhuru wake plus wazazi wake nao wametoa sehemu kuwa ya maamuzi juu ya binti yao na kukukabidhi wewe.

Lazima uwe mkakamavu kwenye familia

Usikubali unyonge kuanzia ukweni mpka ndani ya familia yako.

Huyo shemeji hapo hapo ndio ingekua red card yake.

Na mzee akija kaa nae umwambie kwako utamaduni wako nyumbani hawezi mwanamke kufanya maamuzi bila baraka zako kama mzee mtambuzi ataelewa ila akiwa mpumbavu atavuta mdomo.

Haya yote hakikisha hauishi au hutegemei nyumba ya wife au kipato chake kinakuweka mjini huu ushauri si mzuri kwako.

Kuwa aggressive ni LAZIMA
Kwanza mzee mwenye Akili/busara zake huwa anajiongeza kabisa kabla hata hajaambiwa na mkwe wake utaratibu wa nyumba husika.

Sema tuu watoto ni vichwa ngumu sometime mpaka ujinga wao unaelekea kwa wazazi wao.
Na kwa case ya huyu kaka, baba mkwe wake ilibidi ajiridhishe mwanae kakubaliana na mumewe ujio wake ndo afunge safari.
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Fukuza wote. Dada, mdogo na baba.... Akili zikiwakaa sawa mwenye mji atarudi kwa magoti.

Hao washaweka mkakati wa kuanza kugawana mali ungali u hai

Acha uzwazwa.
 
Nilikuwa na mpango wa kujenga jumba kubwa ili mimi na familia yangu tujiachie.
Ile nimeona, kujenga jumba kubwa ni kualika watu wasio takiwa waje kuishi kwako na kukuletea kadhia.

Sasa mwakani naanza kujenga nyumba yenye vyumba viwili tu. Ndugu watakao kuja kuhamia, watalala sebuleni au jikoni.
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Pole. Na yeye 'mshughulikie' kulinda heshima ya mji wako. Baba mkwe mwache aje ila mtafutie shughuli ya kufanya akuzalishie mali. He is your cheap labor...
 
Wakuu naomba ushauri.

Mimi ni mkazi wa Morogoro ninaishi kwenye nyumba yangu niliyotafuta pamoja na mke wangu. Baada ya wahitimu kumaliza chuo mwaka huu mke wangu aliniomba mdogo wake aje kuishi nasi pamoja.

Sasa baada ya kipindi kupita mke wangu ameonesha ukaribu sana na mdogo wake ikafika mpaka kumueleza mengi juu ya maisha yetu ndani.

Kisa
Jana nilienda dukan kwetu na mke wangu (duka la vipodozi), lengo kumfuata shemeji na kupiga hesabu na kufunga duka. Dakika chache mke wangu alipokea simu kutoka kwa baba yake mazazi akimuomba aje aishi nyumbani kwangu.

Walikubaliana wao yeye na baba yake mzazi akiwa na mdogo wake na hata akaamua kumtumia nauli bila ya mimi kuhusishwa chochote. Ikumbukwe yote haya yanafanyika dukani tukiwa wote watatu namaanisha mimi, mke wangu na shemeji. Baada ya hili zoezi kuisha ndipo mke wangu ananieleza kuwa "Baba atakuja kesho na nimeshamtumia na nauli"

Mi nikamjibu kwa njia ya ujumbe wa simu, "Unaniambia ama unanipa taarifa?" Baada ya hii kauli alinuna na kukasirika sana na kuamua kuongea Kikurya yeye na mdogo wake (mimi mchaga). Mimi hapo sielewi kitu ila nyuso zao ni kama wamefura kwa hasira.

Dada mtu aliamua kurudi nyumbani kwa pikipiki, mdogo mtu (shemeji) alibaki dukani na kufunga hesabu. Baada ya muda kidogo niliwasha gari na kuelekea nyumbani. Nilipofika nyumbani sasa nikamuuliza mke wangu kwanini umekasirika kwa ujumbe kama ule angali sijaandika tusi?

Ailinijibu we niache kwanza, ushamzika baba yako hivyo huna cha kupoteza. Mimi nikamwambia taswira kama hiyo unanijengea picha mbaya kwa mdogo wako, maana yanayoongeleka ni mengi sana hasa juu ya mimi na wewe.

Maana unayomueleza nduguyo huwaeleza hata watu wa karibu. Dah, baada ya kusema hivyo akampigia simu mdogo wake na kumwambia shemeji yako anasema wewe huwa una muongelea vibaya hapo dukani kwa watu wake wakaribu.

Alifunga duka na akarudi nyumbani spidi ya jeti na kunikuta sebulen nimekaa naperuzi JF. Kwanza alipofika tuu nyumbani aligonga mlango kwa nguvu sana kana kwamba kuna mtu ana tuvamia. Alipotimba sebulen akaanza kwa kusema ilikuwaje mkanizungumzia mimi na hao marafiki (majirani wa dukani) zako?

"Halafu shemeji unajua wewe ni mnafiki sana? Unadhani matendo yako kwa dada siyaoni humu ndani? Ujue shemeji wewe una roho mbaya sana, naishi na wewe kwa kukuvumilia sana?Nlisha kudharau sana.

He he..he! Nlibaki nashangaa sana, kwanza ni mtoto mdogo sana kwangu, ni wa mwaka 98. Mwisho akasema bhana eeh kama vipi andika talaka kwa mkeo mgawane mlivyo chuma kila mtu asepe zake (shemeji huyo)! Hata dada yake hakuwahi kutamka maneno kama haya asee.

Wakuu, mimi nimeamua asepe kwao ifikapo Jumatatu ya tarehe 17, October. Japo mke anakuwa kama anajiuliza sana haya maamuzi yangu.

Pia msaada tafadhali maana nina mawazo sana kuhusu huyu dogo mwenye Degree ya Biashara, halafu pia ndugu lakini sina namna.

Nawasilisha.
Wewe ni mnyonge sana, kwa tabia hizo huwezi toboa
 
Utakuja kuwekewa sumu kwenye chakula wakuulie mbali
 
Kwanza mzee mwenye Akili/busara zake huwa anajiongeza kabisa kabla hata hajaambiwa na mkwe wake utaratibu wa nyumba husika.
Sema tuu watoto ni vichwa ngumu sometime mpaka ujinga wao unaelekea kwa wazazi wao.
Na kwa case ya huyu kaka, baba mkwe wake ilibidi ajiridhishe mwanae kakubaliana na mumewe ujio wake ndo afunge safari.
Yes wanasema uonavyo wazazi kuna possibility kubwa ya reflection ya watoto.
Mama hawezi kuja kwangu bila ruhusa ya mzee/mume wake nyumbani na nikiambiwa akae kwangu 3 days zikiisha ataondoka tu
Maana pamoja na kuwa ni mama yangu ila ni mke wa mtu ambaye ni baba yangu.
 
Back
Top Bottom