Mdogo wangu anaomba ushauri,kwa matokeo haya achague course gani chuo?

Mdogo wangu anaomba ushauri,kwa matokeo haya achague course gani chuo?

Huyo mdogo wako kiazi, alipaswa kusoma PCB au CBG maana ndio combination alizofaulu sana, sasa ameenda kusoma HGE na D yake history "this is foolishness"

Acha ujinga wewe, Kupata C ya phy sio kujua phy, pia Kupata D ya Hist sio kutokujua Hist, Kuna jamaa zangu walipata BBC Kwenye Phy, Bio na Chem lakini Form6 walilamba mchanga wa 4 mbovu na PCB zao.
 
Back
Top Bottom