Queen Latifah
Member
- Oct 20, 2019
- 29
- 61
Queen Latifah,
Wewe je umeshaolewa?
Dada mwema hi![emoji113][emoji113][emoji113]
Mdogowako domozege?
Wazungu mbona wanaoa na wana miaka 18...tatizo bongo tunajifanya watoto sana mbona wachezaj weng watoto wameoaKwa huo umri wachumba zake bado shule, anawahi nini asubirie kidogo at least 27 au 28 huo umri baadaye ndiyo wachepukaji
Nipe no zako nikufanyie michakato[emoji23][emoji23][emoji23]Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious
He is 24 black and tall
Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor
Pm me if interested
Huyo mchumba mpaka Leo hajakuoa naomba Mi nikuoe mke mdogo, Si unajua tena mitala suna.!No but nina mchumba
Kakulia magetini...haniambii lakn nshamuona anashindwa sna...so nataka nimsaidie
He's a good guy
Utatakiwa kumfundisha na kulenga hii kitu https://www.jamiiforums.com/data/attachment-files/2019/12/2231851_IMG-20191127-WA0063.jpegWazungu mbona wanaoa na wana miaka 18...tatizo bongo tunajifanya watoto sana mbona wachezaj weng watoto wameoa
Sio wazungu tu hata Waafrika huko vijijini ndanindani hukoWazungu mbona wanaoa na wana miaka 18...tatizo bongo tunajifanya watoto sana mbona wachezaj weng watoto wameoa
Kwahiyo mkuu unadanganyika na picha?Duh! Hiyo picha hatari!
Unamkuwadia brother ako?Mambo zenu,nina mdogo wangu wa kiume kamaliza chuo na anatafuta mtu serious
He is 24 black and tall
Hii ni kwa wadada tu I want to do him a favor
Pm me if interested