Wakuu habari
Nataka nimfungulie biashara mdogo wangu nikamuuliza kwanza biashara gani amefikilia kuifanya kwa mtaji wa chini ya 500,0000 kaniambia kuuza ndizi mzuzu ,Yani anaenda kuchukua mizogo kule morogoro (mbingu) afu anakuja kuuza huku kwa reja reja.(Kwa mafungu )
Kuna mambo nataka binafsi kufahamu nifahamu mwenye kujua anisaidie .
kwanza ulaji wa ndizi mzuzu kwa dar upoje mkubwa au mdogo,
Pili maeneo gani biashara hii inaweza kufanya vizuri ,
Tatu mkungu mmoja kwa mkulima unaweza kuwa shingapi
Kiasi nimevutiwa na wazo la dogo ila Sina detail za soko la zao hili hasa kwa hapa dar.
Karibuni
Wewe ndiye mwenye wazo hiliWakuu habari
Nataka nimfungulie biashara mdogo wangu nikamuuliza kwanza biashara gani amefikilia kuifanya kwa mtaji wa chini ya 500,000 kaniambia kuuza ndizi mzuzu ,Yani anaenda kuchukua mizogo kule morogoro (mbingu) afu anakuja kuuza huku kwa reja reja.(Kwa mafungu )
Kuna mambo nataka binafsi kufahamu nifahamu mwenye kujua anisaidie .
kwanza ulaji wa ndizi mzuzu kwa dar upoje mkubwa au mdogo,
Pili maeneo gani biashara hii inaweza kufanya vizuri ,
Tatu mkungu mmoja kwa mkulima unaweza kuwa shingapi
Kiasi nimevutiwa na wazo la dogo ila Sina detail za soko la zao hili hasa kwa hapa dar.
Karibuni