Mdogo wangu Gerson Msigwa, iheshimishe ofisi uliyopewa...tumia mitandao Kwa maslahi mapana ya utumishi

Mdogo wangu Gerson Msigwa, iheshimishe ofisi uliyopewa...tumia mitandao Kwa maslahi mapana ya utumishi

Yule ashasomwa amejulikana soon atarudishwa Songea. Kutolewa Ikulu kumefanya anune
 
Pathetic!.

Kurasa hizo zimesajiliwa kwa jina la Gerson Msigwa, na siyo kwa jina la Jamhuri wala serikali.

Ni kurasa binafsi ambazo atahitaji kuzitumia kadri anavyoona yeye inafaa. Ilimradi tu havunji sheria wala kumkosea yetote heshima.

Kuna kurasa maalum za Ikulu mawasiliano, Msemaji Mkuu wa Serikali. Hizo ndizo kurasa maalum zinazotoa taarifa za utekelezaji na mambo mengine.


PS: Jaribu kutumia lugha unayoijua vema.
Hahaa ati "walkup call"
 
Mimi sijaona shida ya anacho post kibaya, kumbuka Ile ni account personal ya kwake na vingi anavyo post ni vya kawaida kabisa havina ubaya, hapo umemsagia kunguni bila sababu
 
Daaah msigwa nowdays chenga Sana wazee....!! Tangu Jiwe akate Moto naona kama mshikaj hayuko Sawa hv..iwe ni personal accnt au gvrt mambo ya udaku anayopost ni irrelevant kabisa Kwa jamii iliyostarabika na mbaya zaidi hadhi aliyo nayo...!!
 
Binafsi namuona huyu jamaa toka Magu afariki ni kama nae hayuko sawa hivi, vitu anavyopost ni utoto mtupu.haviendani na mtu mwenye hadhi yake kabisa.

View attachment 2051979

View attachment 2051980

View attachment 2051981

View attachment 2051982
Hivi ulishaona vitu anavyo post Tulia Ackson sijui utalalamika kiasi gani, haya mambo tuwaachie wenyewe ni mambo binafsi na sioni kama yanavuruga utandeji wao wa kazi na account ni binafsi hatutakiwi kuwapangia cha kupost
 
Daaah msigwa nowdays chenga Sana wazee....!! Tangu Jiwe akate Moto naona kama mshikaj hayuko Sawa hv..iwe ni personal accnt au gvrt mambo ya udaku anayopost ni irrelevant kabisa Kwa jamii iliyostarabika na mbaya zaidi hadhi aliyo nayo...!!
Hebu muangalie Tulia Ackson
 
Nadhani Gerson Msigwa anaomba mama afuatilie kuona kama anafaa au amteme. Mambo anayopost Msigwa siyo mambo yakupamba kurasa za watu wa kariba yake. Ukurasa wake wa mtandao wa kijamii unasave purpose yake binafsi na Serikali pia.

Account yake inategemewa kuendelea kuitangaza Nchi, kumbuka akaunti hizi ndizo zilizotumika akiwa msemaji Mkuu au Mkurugenzi Mkuu mawasiliano ya Rais .Means hata baada ya kuachia hiyo nafasi Bado akaunti yake inawafuasi.

Kosa analofanya,may be he is frastrated ni kutumia akaunti yake kupost 90% ya personal issues na 10% mambo ya Serikali.

Niombe tupitie account zake Tuone anachofanya ndicho alichotumwa na Mhe. Rais? Naamini wapo watu wake wa karibu wanakereka na wamekaa kimya wanasubiri atumbuliwe waanze kusema tulijua TU.

My brother, at your age and at that post your freedom is much occopied by public responsibility more than personal matters; don't wait for more walkup call , change: Behave and post at your character age.

All the best my brother,
Ugali umemchosha.
 
Hivi ulishaona vitu anavyo post Tulia Ackson sijui utalalamika kiasi gani, haya mambo tuwaachie wenyewe ni mambo binafsi na sioni kama yanavuruga utandeji wao wa kazi na account ni binafsi hatutakiwi kuwapangia cha kupost
Wote wale wale tu
 
Back
Top Bottom