GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #41
Ilala na Kariako zinalemaza
Hasa Bia na Watoto wa Kiarabu wengi wanaopatikana hapo. Nimeishi Ilala kwa miaka Minne ( 4 ) katikati ya Bungoni na Malapa jirani kabisa na Nyumba aliyokuwa akiishi aliyekuwa Katibu Mkuu wa Simba SC miaka hiyo Marehemu Privas Mtema mwaka 1991 hadi 1995 ( nadhani wengi Wenu hapa mlikuwa bado ama hamjazaliwa au mpo katika Mabeseni mnaogeshwa na mnalilia Uji ) na bado sijaona eneo ambalo lina Vishawishi vingi vya Starehe kama Ilala vya Kuanzia Bia hadi Mademu wakali wakali na najua hivi Vitu Vikubwa viwili ndiyo vinammaliza huyu ' Dogo ' Ibrahim Mido Ajib kiasi cha kuona kuwa Simba na Yanga ndiyo tamati yake Kimpira wakati ana Kipaji Kikubwa kuliko hata alichonacho Mbwana Ally Samatta.