Mdogo wangu Ibrahim Ajib ' Mido ' kama hii taarifa ni ya kweli basi japo ni mwana Simba SC mwenzio ila ' umeniangusha ' sana na mno

Mawakala wake sio sahihi. Wanataka pesa nyingi kuliko kuangalia maendeleo ya ibra
 
kidevu alisema anataka su ya uhakika kwahiyo si tatizo akija ka sub ya maana japo kimpira najua atapotea ila angeenda Congo angekuwa mtu mwingine na angejenga cv kubwa maishani ambayo ni muhimu kwa timu yetu ya taifa
 
Mtamlaumu Ajibu bure ila kumbukeni huyo kijana yuko kwenye mfungo wa Ramadhan kwa vyovyote vile atakua anaendeshwa na akir ya swaum
Over
 
kidevu alisema anataka su ya uhakika kwahiyo si tatizo akija ka sub ya maana japo kimpira najua atapotea ila angeenda Congo angekuwa mtu mwingine na angejenga cv kubwa maishani ambayo ni muhimu kwa timu yetu ya taifa

Umeandika vizuri sana Mkuu. Heko Kwako na huo ndiyo ukweli halisi ila nashangaa kwanini huyu ' Dogo ' Ibra haya Maisha ya Dar es Salaam, Tanzania anayapenda mno wakati kwa Kiwango na Kipaji chake ana uwezo mkubwa sana kuliko hata Mbwana Ally Samatta. Ajib kama akienda Vilabu Vikubwa vya TP Mazembe au Mamelodi Sundowns au Al Ahly kisha akakutana na Makocha wakubwa huko wakampika na kumjenga vyema nina uhakika atakuwa ' Mtamu ' zaidi ya alivyo sasa na Vilabu vingi huko Ulaya vitamgombania sana labda Changamoto Kubwa Kwake inaweza kuwa ni Umri kwani kwa ninavyomjua Umri anaoutaja sasa ni wa ' Pasipoti ' tu lakini siyo ule Umri wake halisia.
 

Umri wake ni miaka 22 hii ndio bongo ila kumbuka kacheza simba miaka zaid ya mitatu pili kacheza yanga miaka miwili hapo kwa hesabu ya haraka haraka itakua alianza kucheza soka la kulipwa akiwa na umri chini ya miaka 16 ambapo pia kisheria nikosa
 
yawezekana mshauri wake kashapata kiasi flani ili kumshawishi abaki TZ, ila kiuhalisia angeenda TP ingekuwa kajipanulia wigo zaidi, yote kwa yote tumuombee mafanikio katika maisha ya mpira kingine sidhani ka tunacho cha kufanya dhidi yake
 
Umri wake ni miaka 22 hii ndio bongo ila kumbuka kacheza simba miaka zaid ya mitatu pili kacheza yanga miaka miwili hapo kwa hesabu ya haraka haraka itakua alianza kucheza soka la kulipwa akiwa na umri chini ya miaka 16 ambapo pia kisheria nikosa

Ukiniambia Ajib ana miaka 28 au 30 nitakubaliana nawe tena kwa 100% Mkuu ila huo Umri anaoutaja sasa sijui wa 22 akawadanganye wengine. Sasa bora ya Ajibu kwenye suala la Umri huwezi amini hadi leo Kipa Juma Kaseja Umri wake anadai ni miaka 30 wakati nakumbuka amesoma na Wachezaji wenzake tena wakiwa pale Makongo kama Boniface Pawasa, Ephraim Makoye na Wilfred Kidau huyu wa TFF sasa bila kumsahau Rafiki yangu mkubwa Kocha Suleiman Abdallah Matola a.k.a Mzambia a.k.a Veron ambao wote hawa sasa miaka yao ni 40's ila Yeye ( Kaseja ) bado anasema yupo katika huo Umri wa 30's na bado kuna Watu wamemuamini kabisa. Huwa nacheka mno Mkuu.
 
yawezekana mshauri wake kashapata kiasi flani ili kumshawishi abaki TZ, ila kiuhalisia angeenda TP ingekuwa kajipanulia wigo zaidi, yote kwa yote tumuombee mafanikio katika maisha ya mpira kingine sidhani ka tunacho cha kufanya dhidi yake

Ni kweli na tumuachie tu Yeye mwenyewe. Nasikia kaamua Kuchukua hizo Milioni 80 na Gari jingine Jipya la Kifahari. Ila kwa Mimi ninavyojua kama angeenda zake TP Mazembe angelipwa Mshahara mkubwa kuliko ambao atapewa Simba SC kama hizi Tetesi za Yeye Kusajili Simba SC zikiwa Kweli ila nina uhakika kwa Kipaji chake na Uwezo wake wa Kucheza Mpira kama angeenda Ulaya basi hizo Tsh Milioni 80 atakazopewa Simba SC kwa Mkataba wa Miaka Miwili huko angekuwa anapewa hiyo Pesa kwa Wiki na huko angekula ' Bata ' za Kufa Mtu hadi angezichoka. Ilala na Dar es Salaam inamuharibu ' Dogo ' huyu.
 

Pia naweza nikaamin umri ukawa sababu ya Ibrahim Ajibu kukwepa kwenda Tp Mazembe hyo ni sababu ya kwanza ila sabubu ya pili na elimu ya masuala ya soka nayo pia hana hata haoni mfano kwa wenzaki kama kina Mao Mkami, Kichuya, Msuva, Yahya Zaid bila kumsahau Samatta

Elimu Elimu Elimu=E.Lowasa
 

Sahihi kabisa Mkuu.
 
Binafsi ni mwana simba lia lia ila bwana mdogo kaniangusha sana kuichomolea TP mazembe.
 
Wakat mwingine zinarudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…