Mdogo wangu Mchezaji Balama Mapinduzi nani alikudanganya kuwa Klabu ya Yanga inajua Kujali na Kulipa Fadhila?

Mdogo wangu Mchezaji Balama Mapinduzi nani alikudanganya kuwa Klabu ya Yanga inajua Kujali na Kulipa Fadhila?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Siku hizi hata simu zangu viongozi hawapokei na wengine wame niblock kabisa zaidi na ambiwa tu kua nikipona nitafute timu nyingine sina tena nafasi."Balama Mapinduzi.

Chanzo: simbascdaily

Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani ambaye Yanga SC imemuacha pia.
 
Propaganda au?? kama ni kweli watakuwa wamezingua sana hao viongozi.
Itakuwa ni Kweli tu Mkuu kwani Roho Mbaya na Klabu ya Yanga ni Vitu viwili vinavyopeana sana Ushirikiano wa Kutukuka kabisa kwa Wachezaji.
 
Bwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.

Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.

Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!
 
Daah! Uzuri mshikaji msomi wa fani tukufu ya sheria...akapige Law School pale aanze kukamata Wateja akiwa kama wakili msomi Mapinduzi Balama.
 
Mleta uzi ni mlevi wa gongo la m.a.r.v.i.r.u.s
 
Siku hizi hata simu zangu viongozi hawapokei na wengine wame niblock kabisa zaidi na ambiwa tu kua nikipona nitafute timu nyingine sina tena nafasi."Balama Mapinduzi.

Chanzo: simbascdaily

Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani ambaye Yanga SC imemuacha pia.
Balama yuko avic town na wenzie akiendelea na mazoezi madogo madogo,iko chanzo chako cha simbadaily unategemea kiandike mazuri kwa Yanga,juma mahadhi tu hajafanyiwa unyama kama huo kipindi chote cha injury ndio afanyiwe balama!mikia ndio wanamuacha fraga sababu ya injury,azam wanasubiri aachwe rasmi wamchukue
 
Siku hizi hata simu zangu viongozi hawapokei na wengine wame niblock kabisa zaidi na ambiwa tu kua nikipona nitafute timu nyingine sina tena nafasi."Balama Mapinduzi.

Chanzo: simbascdaily

Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani ambaye Yanga SC imemuacha pia.
Tshishimbi alipata jeraha akiwa sebleni mpaka alipoenda kwao mambo yakawa safi ni ukweli yanga kuna vipapai sio yanga tu timu nyingi za tz
 
Back
Top Bottom