GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Itakuwa ni Kweli tu Mkuu kwani Roho Mbaya na Klabu ya Yanga ni Vitu viwili vinavyopeana sana Ushirikiano wa Kutukuka kabisa kwa Wachezaji.Propaganda au?? kama ni kweli watakuwa wamezingua sana hao viongozi.
Bwana alitoa na Bwana mwenyewe ametwaa, jina lake libarikiwe.
Hawa foreigners wawe wanafanya jitihada ya kuchunguza historia ya baadhi ya vilabu hapa nchini kabla ya kujiunga navyo kwa vile kuna ambavyo vina utamaduni wa kutoa kafara wachezaji na viongozi mashuhusri ili viweze kupata mafanikio.
Historia inaonyesha kuwa Simba Sports Club ndiyo kinara wa mambo haya - TAFAKARI!!
Balama yuko avic town na wenzie akiendelea na mazoezi madogo madogo,iko chanzo chako cha simbadaily unategemea kiandike mazuri kwa Yanga,juma mahadhi tu hajafanyiwa unyama kama huo kipindi chote cha injury ndio afanyiwe balama!mikia ndio wanamuacha fraga sababu ya injury,azam wanasubiri aachwe rasmi wamchukueSiku hizi hata simu zangu viongozi hawapokei na wengine wame niblock kabisa zaidi na ambiwa tu kua nikipona nitafute timu nyingine sina tena nafasi."Balama Mapinduzi.
Chanzo: simbascdaily
Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani ambaye Yanga SC imemuacha pia.
Si useme tu wakina Side..!Fraga kuna wachezaji wamempiga kipapai lakini simba tumenyamaza kimya
Tshishimbi alipata jeraha akiwa sebleni mpaka alipoenda kwao mambo yakawa safi ni ukweli yanga kuna vipapai sio yanga tu timu nyingi za tzSiku hizi hata simu zangu viongozi hawapokei na wengine wame niblock kabisa zaidi na ambiwa tu kua nikipona nitafute timu nyingine sina tena nafasi."Balama Mapinduzi.
Chanzo: simbascdaily
Na bahati mbaya sana Mdogo wangu najua hilo Jeraha ni Kipapai ( Kurogwa ) na Mchezaji aliyekimbia Marekani ambaye Yanga SC imemuacha pia.