eti amerudia analalamika eti mwalimu kamkosesha..wakati anajua kapata..ikabidi nimwambie anionyeshe ni wapi amekoseshwa..akanionyesha..
ilikuwa ni methali inasema simba akizidiwa...dogo akawa amejibu 'hung'oa viti'
eti amerudia analalamika eti mwalimu kamkosesha..wakati anajua kapata..ikabidi nimwambie anionyeshe ni wapi amekoseshwa..akanionyesha..
ilikuwa ni methali inasema simba akizidiwa...dogo akawa amejibu 'hung'oa viti'