Mdogo wangu wa kike kaenda mkesha kwenye makanisa ya kilokole ila nina wasiwasi. Je, kesho akirudi nitakuwa sawa kumdadisi?

Mdogo wangu wa kike kaenda mkesha kwenye makanisa ya kilokole ila nina wasiwasi. Je, kesho akirudi nitakuwa sawa kumdadisi?

Kwema wakuu, kama mada inavojieleza. Nimepokea taarifa kwa shingo upande kua mdogo angu kaenda mkesha kwa makanisa ya kilokole, najua kwenda ibadan ni sawa lakin nahisi kuna mambo yanaweza kuendelea huko. Naomba maoni yenu ila sitapendezwa na lugha chafu.
Ameoteshwa na roho mtakatifu.Subiri upate shemeji kutoka pande hizo anajiita "mpendwa"!
NB;Mwenye dada hakosi "kukesha akiomba" maji ya kunywa.
 
Kwema wakuu, kama mada inavojieleza. Nimepokea taarifa kwa shingo upande kua mdogo angu kaenda mkesha kwa makanisa ya kilokole, najua kwenda ibadan ni sawa lakin nahisi kuna mambo yanaweza kuendelea huko. Naomba maoni yenu ila sitapendezwa na lugha chafu.
sisi wenzako huwa tunawaruhusu wake zetu wanaenda kwenye mkesha, wakati mwingine tunaambatana nao pia. kule ni kusifu, kuabudu na maombi tu na inasaidia sana kiroho. wanadamu wengi wanadharau mambo ya kiroho, kumwabudu na kumtafuta Mungu bila kujua yeye Mungu ndiye chanzo cha uhai wetu, siku ukija kubanwa kwenye mlango na magonjwa na matatizo rundo utatafuta hiyo nafasi hata uende mkesha siku moja tu hautaipata. wacheni wanaomtafuta Mungu wamtafute, msifanyike kauzibe, msije kushindana na kusudi la Mungu maishani mwao.
 
Hao wachungaji wa kilokole vitombi sana, wanakula wake za watu sana hao.
Wazinzi tupu, mi ninawafahamu, hao walokole na mikesha yao wanaongoza kubanjua amri ya sita.

Mara huyu demu wake ni yule muimba kwaya, mara huyu demu wa mchungaji, yule mtu wake mzee wa kanisa, wachafu tu hamna lolote.

Kuwa makini na umkanye.
 
Kuna pastor mmoja mlokole, niliitwa kuamua ugomvi mkewe kamkuta ofisini kamvua nguo mke watu kifua kipo wazi, tena kwenye ofisi ya kanisa.

Sio mchezo, na ukikuta anaombea watu unakataa.
 
Hao wachungaji wa kilokole vitombi sana, wanakula wake za watu sana hao.
Wazinzi tupu, mi ninawafahamu, hao walokole na mikesha yao wanaongoza kubanjua amri ya sita.

Mara huyu demu wake ni yule muimba kwaya, mara huyu demu wa mchungaji, yule mtu wake mzee wa kanisa, wachafu tu hamna lolote.

Kuwa makini na umkanye.
shetani anawafanya muuogope wokovu hata kwa mambo ya uongo.
 
Kuna pastor mmoja mlokole, niliitwa kuamua ugomvi mkewe kamkuta ofisini kamvua nguo mke watu kifua kipo wazi, tena kwenye ofisi ya kanisa.

Sio mchezo, na ukikuta anaombea watu unakataa.
Kuna pastor enzi za JK nilikuwa nakutana nae sana boda na Airport nikaja kugundua anafanya mambo ya hovyo mno. Lile kanisa ni zuga tu ila biashara yake ilikuwa haramu. Hawa wachungaji na manabii wana uchafu mwingi mno.
 
Kuna pastor enzi za JK nilikuwa nakutana nae sana boda na Airport nikaja kugundua anafanya mambo ya hovyo mno. Lile kanisa ni zuga tu ila biashara yake ilikuwa haramu. Hawa wachungaji na manabii wana uchafu mwingi mno.
Wahuni wale, lakini huwaelezi kitu waumini wao.
 
Moja je Huwa mnasali kanisa hilo la kilokole? Kama hapana kaanza lini kwenda huko Hadi mkesha?

Pili mdogo wako ana umri Gani? Kama ni zaidi ya miaka 21 unafikiria hawezi kujisimamia? Je huko shule au vyuoni nani anamsimamia? Kama ni mwenyewe kwa nini uwe na wasiwasi?

Je nani amempatia ruhusa ya kwenda mkesha? Kama ni wewe au wazazi wake kwa nini uwe na wasiwasi?

By the way mwenye dada hakosi shemeji. Vumilia TU hata wewe ulipitia njia hiyo, kwa Binti wa watu kama alivyo mdogo wako.

"Golden rule, usimtendee mwenzio usichopenda kifanyiwa"
 
Mkuu mwache bhana aende kwa bwana wake yesu "nimeokoka nampenda yesu" mdogo wako hajawahi kuambia hii kauli
 
Back
Top Bottom