Mdogo wangu.!

Mdogo wangu.!

hivi kulipia private pale UDSM ina gharimu kiasi gani kwa mwaka ktk ENGINEERING? Manake wazazi wangu wanataka wanisomeshe private ili nisikatwe mshahara badae ntakapoingia kazini.
 
Pole sana mkuu,tafuten alternative nyngne ya kumsave dogo.

hivi kulipia private pale UDSM ina gharimu kiasi gani kwa mwaka ktk ENGINEERING? Manake wazazi wangu wanataka wanisomeshe private ili nisikatwe mshahara badae ntakapoingia kazini.
 
Mzee wako alitumia ujana wake vibaya. Sasa watoto wanapata matatizo.

Namshauri dogo, kuwa sio lazma aanzie digrii. Anaweza kuanzia diploma kwakuwa ada yake ni affordable kwa kila Mtanzania then akishapata kazi baadae atajiendeleza.

Serikali haina uwezo wa kumlipia kila anayepata chuo. Tatizo ni bajeti.

Namtakia kila la kheri. Asife moyo, yeye sio wa kwanza. Mungu ambariki.

we jamaa kwa pumba haushikiki!
 
Dah! Too sad. Hapo home hakuna walau ng'ombe mkauza akasoma huyo kijana?
Halafu ndo unakuta kijana kama huyo anapost tu humu na simu yake ya kichina eti ooh kuna demu ananizingua! Unaweza finya maskio!

Teh teh teh hii imenigusa naomba kudeclare interest!
 
Back
Top Bottom