pathfinder_tz
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 356
- 377
Dah! Hivi mtu mdomo unavyonuka mwenyewe unakuwa husikii au!?
Yan asubuh mida ya saa 3 nmepanda mwendokasi nmekaa na mtu mdomo kapuyaaaaa!! Af ye hana habari anaongea na simu tu tena kwa saut ya juu!!. Nilikua nna zile big g za mint mfukon nikampa moja lakini nahisi kama haelewa ile gesture ya kupewa big g ale..
Kuna watu wananuka midomo jaman.. halafu watu wa hivi wanapenda romance anakulambaa. Mi huwa nawaulizaga na kuwaambia kama mtu akinuka mdomo.. sema leo nmeamka na moods zangu tu..
Yan asubuh mida ya saa 3 nmepanda mwendokasi nmekaa na mtu mdomo kapuyaaaaa!! Af ye hana habari anaongea na simu tu tena kwa saut ya juu!!. Nilikua nna zile big g za mint mfukon nikampa moja lakini nahisi kama haelewa ile gesture ya kupewa big g ale..
Kuna watu wananuka midomo jaman.. halafu watu wa hivi wanapenda romance anakulambaa. Mi huwa nawaulizaga na kuwaambia kama mtu akinuka mdomo.. sema leo nmeamka na moods zangu tu..