Ukipost jambo lolote baya dhidi ya serikali hawa ndugu zetu ambao hawajakubali matokeo lazima wa-comment hivi ; " Andamaneni Dr. Slaa atoke, andamaneni mpate tume huru ya uchaguzi".
Sasa hawa wenzetu wamejitoa upinzani na kuunga mkono juhudi? Halafu comments zao na post zao ujumbe unafanana kama hashtags za ma-ccm.
Ujumbe huu kupitia X yake.
USHAURI WANGU
Mdude ajue, ukiingia kwa upanga utatoka kwa upanga
Sasa hawa wenzetu wamejitoa upinzani na kuunga mkono juhudi? Halafu comments zao na post zao ujumbe unafanana kama hashtags za ma-ccm.
Ujumbe huu kupitia X yake.
USHAURI WANGU
Mdude ajue, ukiingia kwa upanga utatoka kwa upanga